Recent content by mzawa01

  1. M

    Maaskofu Tanzania watoa Tamko, wakemea udini, ukanda na ukabila!

    hv hawa maaskofu na data hizi za nafasi za uongozi ni kweli kiashiria sahihi cha udini? kama ni sahihi basi nchi hii inakuwa term fulani ya kikristo na term fulani ni ya kiislam. Kwani mkapa alipokuwa rais na sumaye kuwa PM, nani alikuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa? nani alikuwa spika wa...
  2. M

    ACP Hemed Msangi...

    unatafuta kwa kufia ukubwa jiwe ee? kafie kwa mamaako huko, ktk hili jamii haitoki njiani kirahisi hivyo msichukilie poa kila kitu wewe na msamgi wako
  3. M

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    technical mistake! huwezi kuwa waziri mpk uwe mbunge na huwi mbunge mpaka uapishwe na hata uwaziri pia mpka uapishwe,kimsingi wabunge wateule wamekuwa mawaziri wateule litakuwa tatizo kubwa sana kisheria kama wataanza kuapishwa uwaziri hali ya kuwa hawajaapishwa ubunge na mungu aepushie mbali...
  4. M

    Live on star TV mtazamo baada ya matokeo ya Arumeru

    mkuu wa kaya baada ya kukicost chama kwa kukaa kimya na mijambazi yake kina ngeleja,luhanjo,uttoh,ekelege,mtasiwa,nyoni na mafisadi wengine ambao bado hawajahukumiwa mpk leo pamoja na mitume kibao iliyoundwa na bunge na kutoa mapendekezo ya hukumu dhidi yao,sasa naamini wanatafuta mchawi lkn kwa...
Back
Top Bottom