Matokeo uchaguzi wa s/mitaa 2024 yalitangazwa mapema/haraka sana. Idadi ya uwapiga kura imesemwa ni milioni 37 waliojiandikisha, ni mifimo gani inatumoka na je, huu ni uhalisia?
Polepole ni sauti ya mtu aliaye nyikani... wanaopuuza wako usingizini ila wajue kwamba wasio na sauti ni wengi na wanaunga mkono hoja.. nimeona hii na interior hawa walikuwa upande wa mwenda.. na sio wa mja tusubiri! umasaini
LIssu hoja kudhaa kuthibitisha hoja kuu no reforms, no election hizo ndizo zinatakiwa zaidi kuhojiwa sasa mambo kama mama ana huruma nk. yanajibuje hizo hoja? Hoja ka kuengua wagombea wa upinzani unaihusisha vipi na huruma, hisani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.