Ss kam kila tukio Raisi aende nje mabalozi itakua kazi yao nn?
Mbona hao maraisi wa Ulaya hatuwaoni kuzurura zurura ovyo?
Nyinyi mnanongwa tu na visokolokwinyo,
Mhe JK alivokua anasafr safr mkasema raisi gan kila cku safar, JPM hatoki toki mnalalamka tena, eeh, nyie watu wavip!
Hakika kwa umati uliojitokeza Pemba ilikua ni bonge la surprise, sikuamini kama watu wangejitokeza kiasi kile,
Hii inaonesha wazi ni jinsi gani Mwinyi amekubalika.🤝🤝
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.