Imeshanitokea si chini ya mara TATU, wakati ukiendelea na tendo kondomu za Bull ZINAPASUKA.
Mungu bariki hapakuwepo maambukizi. TBS chukueni hatua, mnaangamiza maisha ya watu....!
Natafuta makato cha kushangaza ukiingia kweye website yao (Welcome : Home) mpaka leo hawaja'update tariff za mpesa, mnaficha nini? mbona mmelala kiasi hiki????
Hivi karibuni kuna mtumishi kahama kutoka Serikali Kuu kwa cheo cha mhasibu mwandamizi (Senior accountant-SA) akiwa ametumikia miaka 10 kwenye utumishi wa umma, baada ya miaka mitatu alikuwa anapanda kuwa Mhasibu Mkuu (Principal Accountant). je ni kanuni gani ya utumishi inatoa mwongozo wa kule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.