ndo maan tunaambiwa tuoe wanawake wema wenye dini na kuifuata xio wanawak ambao ni kam gari la abiria kila m2 anasimamixh na kwa upand we2 wanaum wapo baadhi ye2 awana uchung na ndoa zao ndo madud yanakuw mengi ndan ya ndoa na ndoa zinashindw kudum
jamani kwa wale watia nia na wataogombea kikubwa wananchi tunaitaji maendleo naxi ahad zang wakishachaguliwa bhx wengi wao awetekelezi ahadi kwo kwa mwaka u mwananchi tujitaidi kuchagua viongozi bora naxi bora viongoz kila cku tutaishia kulalamik bila mafanikio
ngoja tuone kama atafanikiwa lakini kwa muda mref sasa ccm ndio imekuwa ikitawala labda kwa mwaka huu lolote linaweza kutokea na kwa trend ya Mwijage kama akigombea tena kuwa posibillity akashindwa kutokana na jimbo kukosa maendeleo chini yake ndani ya miaka kumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.