Recent content by mzairemachugwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    Nawashukuru ndugu asanteni sanaa. Sasa kwa anaejua bei za kununulia kiwandani. Nyati na super set zinapatikanaje?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ofa kwa wanaojishughulisha na sherehe

    Sawa nitafute mapema
  3. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    Habari zenu kaka zangu, Nimesaidiwa mtaji wa biashara wa 5 millions. Na nimefikiria kuitia ktk biashara ya cement. Wakuuu naomba ushauri wenu. Vp hii biashara ya cement munaionaje upande wa faida na hasara zake. Location nzuri ipo. Naomba kujua ni cement ipi nzuri kibiashara yaani yenye...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Mm ndugu yangu nakupa ushauti naamini mzuri kuliko yoooote uliipata. Kama bado pesa unayo benk nakushauri 1.maliza mwezi Acha jazi ya kuajiriwa. 2. Tafuta mradi m1 kati ya bidaboda au bajaji au kicary usimamie mwenyewe. Huo usafiri ununue mwenyewe kwa pesa zako hizo. 3. Naamini pesa zitabaki...
Back
Top Bottom