Recent content by Mystery

  1. Mystery

    Kuuawa kwa Juma Mfaume kwa kushindwa kulipa deni la mkewe kwa kampuni ya OYA, kunatokana na urasimu na sera mbovu za BoT

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi, Mkoa wa Pwani, siku ya Jumanne, tarehe 8 mwezi huu, kuwa wafanyakazi 4 wa kampuni ya OYA, walimuua Juma Said Mfaume, wakidai kuwa mkewe huyo Juma Mfaume, anayeitwa Khadija Ramadhan, alikopa pesa toka Kwenye kampuni hiyo ya OYA na akawa harejeshi marejesho...
  2. Mystery

    Kama Mkutano wa Ndani Unajaa Watu Kiasi Hiki. Vipi Kwa Mkutano wa Nje? CCM ina uwezo wa kujaza hata Uwanja wa Taifa

    Wacha mbwembwe wewe Mwashambwa. Hivi kujaza uwanja Kwa kukusanya wafanyakazi na wanafunzi wote wa. eneo Hilo, ndiyo unajisifia?😁
  3. Mystery

    Cyprian Musiba: Mpina anatekeleza Ilani ya CCM, kuna wahuni ndani ya CCM na serikali

    Hapo umenena Musiba.👏👏 Tatizo la CCM ya kileo ni kuwa hawataki kabisa kukosolewa pale wanapofanya madudu. Wanachotaka hawa viongozi wa CCM wa kileo ni kusifiwa tu Kwa kwenda mbele. Hata kama mwanaccm mmoja atamuona mwanaccm mwenzake akiwaibia wananchi, mabilioni ya pesa, akae kimya kabisa...
  4. Mystery

    Hakuna biashara inayolipa sana zaidi Tanzania kama "siasa"

    Hata Rais mwenyewe aliwapa "green light" wateule wake ya "kuiba" Kwa Kula Kwa urefu wa kamba zao!😳
  5. Mystery

    Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

    Kwa kweli suala lililobaki ni kumuomba sana Mungu bila kuchoka ili aonyeshe njia ya namna ya kuondokana na utawala huu dhalimu, uliojikita katika kuwapoteza raia na mauaji holela ya wananchi
  6. Mystery

    Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

    Kwa kweli hali inasikitisha sana. Nakumbuka Rais Samia, baada ya kifo Cha Ali Kibao, ali-post Kwenye ukurasa wake wa Twitter, kuwa amesikitishwa mno na kifo Cha Ali Kibao, hatataka matukio ya aina hiyo yajitokeze nchini kwetu, Kwa kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia na Kila mtu ana HAKI ya KUISHI...
  7. Mystery

    Sura ya Chadema katika Magazeti ya Mataifa

    Hivi wewe hujui kuwa maandamano ya amani ni halali kufanyika Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hii, sasa kulikuwa na sababu zipi Kwa serikali hii ya CCM, kuwakusanya mapolisi wote wa nchi hii kuja Dar Kwa lengo la kuwatisha raia Ili wasiweze kuandamana??😳
  8. Mystery

    Je, vitendo vya kutekana na baadhi ya Wahanga kuuawa ni mkakati wa CCM kutaka kuua upinzani nchini ili usiwepo kabisa?

    Wewe kipara kipya, hao unaowatetea wao wanakula Kwa urefu wa kamba zao, wewe wanakuachia manyoya tuu😳
  9. Mystery

    Je, vitendo vya kutekana na baadhi ya Wahanga kuuawa ni mkakati wa CCM kutaka kuua upinzani nchini ili usiwepo kabisa?

    Huyo Mbowe na mwanaye unaowataja, je Jeshi la Polisi liliwaruhusu waandamane au liliwakamata Kwa madai ya "kitoto" kuwa wanavuruga amani ya nchi??😳
  10. Mystery

    Je, vitendo vya kutekana na baadhi ya Wahanga kuuawa ni mkakati wa CCM kutaka kuua upinzani nchini ili usiwepo kabisa?

    Hayo maandamano tuliwaachia hao mapolisi kuandamana Kwa niaba yetu Wewe kama ni mkazi wa Jiji la Dar, utakubaliana nami, Kwa kuwa uliona namna Polisi wote toka mikoani walivyojaa jijini Dar na kuanza kuandamana wakiwa na silaha za kivita, utadhani nchi yetu ipo vitani, wakiwa na farasi...
  11. Mystery

    Je, vitendo vya kutekana na baadhi ya Wahanga kuuawa ni mkakati wa CCM kutaka kuua upinzani nchini ili usiwepo kabisa?

    Bila kuendelea kuweka "pressure" kubwa kwa watawala, ambao wanaamini wanalindwa na vyombo vya Dola, hakika watatumaliza😳
  12. Mystery

    Je, vitendo vya kutekana na baadhi ya Wahanga kuuawa ni mkakati wa CCM kutaka kuua upinzani nchini ili usiwepo kabisa?

    Hata Mimi nimekuwa nikijiuliza hivi Kwa mfano huyo Soka, amekuwa tishio Kwa kiasi Gani, Hadi ifikie System, iamue kumteka na asijulikane alipo Hadi hivi sasa??
  13. Mystery

    Je, vitendo vya kutekana na baadhi ya Wahanga kuuawa ni mkakati wa CCM kutaka kuua upinzani nchini ili usiwepo kabisa?

    Hizo hoja wanazotoa hao maccm, naweza kuziita kuwa ni walioishiwa na hoja Hivi kama kweli sisi wapinzani ndiyo tunaofanya huo utekaji, ni kwanini basi hata huo wito tunaotoa wapinzani wa uundwaji wa Tume huru ya kijaji unaotolewa na vyama vya upinzani, nao unapingwa kutekelezwa na serikali hii...
Back
Top Bottom