Asanteni sanaa wakubwa kwa kushare this great idea with us...me ni kijana mdogo ambae nnavutiwa sana na hii business though sijaanza kuifanya bado, nlikua nauliza kwa mtaji wa 500k mpk 700k unaruhusu kuanza na samaki kama wangapi ivi sato?
hakuna game za uhakika kaka...lazma tuh kuna siku big teams zinateleza, even last weekend real madrid amepoteza dhidi ya girona in front of home crowd..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.