Kuna topic kibao za mahusiano, ni kweli mahusino yamekuwa na changamoto nyingi sana katika maisha yetu. kila mtu analalamika na la kwake. Mwingine atakwambia simuamini msichana hata kidogo. Lakini mwingine atakwambia simuamini mwanaume hata siku moja. Mwingine atakwambia hakuna mapenzi ya...
sikuzote tunatamani kujua huyu msichana anawaza nini kuhusiana na huyu mwanaume, ambaye amekuwa akiongelewa mengi , ni heart breaker, hasiyejali, hasiyetunza familia, hanayetelekeza watoto, mwenye roho ya kikatili, mwenye msimamo mkali. anyway sio mimi ninayesema ila watu husema tunataka kujua...
Ni kweli yametokea na mimi nikiwa shahidi kwa msichana ambaye aliingia kimapenzi na mwanaume mstaarabu na heshima zake na yote hiyo kwasababu alitokea majuu.
Juhudi zote za wazazi na ndugu wa karibu kumshauri hazikufua dafu, dada ndiyo huyo alikuwa ameishakanganyikiwa na anachotaka ni ndoa tu...
hahaha huo ni ukweli mtupu, unapoongea kila kitu kwa uwazi utaweza kuona kama ni kwa hasira, ila hili limewakuta wengi sana na kuonekana ni la kawaida. hila lisikie tu husikutane na mtu wa aina hiyo.
Ni hatari kuwa katika mahusiano na mtu ambaye ni mkatili, mtu hasiyeshawishika, kitu chochote anachosema yeye hakina mjadala!Ni bora kuwa peke yako kuliko kuwa kwenye mahusiano yenye hatari! Ni bora kuwa peke yako kuliko kuwa kwenye mahusiano yasiyokuwa na uaminifu!
Wapenzi, ni bora kuwa peke...
Hujawahi kufikiria na hutaweza kuamini, lakini ukweli ndio huu. Wewe unaweza kuwa sababu kubwa sana ya mpenzi wako kuonekana ana kasoro kibao,hawezi kuwa mpenzi sahihi kwako henda ni kwasababu ya umakini ulionao na tabia yako kwake ambayo inasababisha kuzalisha ubaya kutoka kwake yani kuonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.