Recent content by myndomba

  1. M

    CWT na Jukwaa la Walimu kuitisha maandamano kumpinga Lissu juu Mwl. Nyerere

    Huenda hao walimu hawana kazi za kufanya,waache kuabudu mizimu,walitakiwa waandamane kudai haki zao sio wanaandama kumpinga Lissu mpigania haki....si buresarakasi za mwigulu zimeanza,NYERERE WAS VERY WRONG....wasome kitabu kinaitwa THE DARK SIDE OF MWL NYERERE
  2. M

    Nape na UVCCM Acheni unafiki kwa Mwl.Nyerere,Tundu Lissu Hongera Sana

    Kaka umenena,tunafarijika kuona tuko wengi tunaofikiri positive.....Lissu ni mtanzania pekee aliethubutu kusema ukweli...hongera sana TUNDU LISSU NA UBARIKIWE
  3. M

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    Ni taarabu na ngonjera tu wanazotaka kutuaminisha hawa ccm,binafsi namuunga mkono mh lissu kwa ukweli alioutoa,amesubutu big up LISSU udumu daima
  4. M

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    mkuu big up sana mkuu,nawashangaa sana ccm jk alipokuwa hai hawakutimiza wala kuyaishi yale sahihi aliyosema..walisema yamepitwa na wakati,leo ni marehemu wanajifanya kumtumia kama nukuu za biblia,wanafiki hawa tulione hili...wanatafuta tonge tu
  5. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    mkuu umenena,sasa wamebakia wenyewe ona tofauti....wanaongea kwa kurudia hoja hawana jipya
  6. M

    Edwin Mtei asikitishwa na alaani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    ondoka kwani umechangia nini so far ktk chama,ondoka tu ili tubakie na cream,na hautatangazwa hata na radio mbao
  7. M

    Edwin Mtei asikitishwa na alaani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    WATANZANIA TUACHENI UJINGA HUU WA KUPITILIZA,LISSU HAJAMUUA JK NYERERE WALA HANA HARUFU YOYOTE YA UFISADI!..AMESEMA TU UKWELI,WATU WAMEMUUA YESU MWANA WA MUNGU SEMBUSE KUSEMA UKWELI KUHUSU JK AMBAE NI BINADAM TU TENA WA KAWAIDA?msiaminishe watanzania ujinga.....NYIE NI WATUMWA MSIOTAKA KUWA HURU...
  8. M

    Mzee Augustine Lyatonga Mrema; Jaza gari mafuta urudi Vunjo ukalale!

    MREMA SASA ANALIPA DHAMBI ZA USALITI KWA WAPINZANI,na inaonekana wazi kuwa bunge la vijana wasomi limemzidi uwezo
  9. M

    Tofauti kubwa kati ya Kinana na Slaa, ni sawa na kufananisha Kilimanjaro na tuta la viazi...

    vasco da gama wa bongo je vp hamuoni ziara zake au mmeshapofushwa?
  10. M

    Tofauti kubwa kati ya Kinana na Slaa, ni sawa na kufananisha Kilimanjaro na tuta la viazi...

    Kinana anajisafisha tu na ufisadi wake wa meno ya tembo,nadhani ccm wamempa adhabu kwa ufisadi alionao
  11. M

    Tofauti kubwa kati ya Kinana na Slaa, ni sawa na kufananisha Kilimanjaro na tuta la viazi...

    YEAH MAN GUD!..sasa watanzania tumekua HATUZUGUKI
  12. M

    Tofauti kubwa kati ya Kinana na Slaa, ni sawa na kufananisha Kilimanjaro na tuta la viazi...

    Hajulikani kwa watetezi wa wanyonge,kazi yake ni kufanya shows za kuonyesha kuwa anavumilia shida na yuko karibu na wananchi lakini ni km anawasanifu tu wananchi,sioni kingine maana anafanya unafiki tu aonekane kwa wananchi lakn kelele zake hazifanyiwi kazi.....mfano mawaziri mizigo ambao leo...
Back
Top Bottom