Mambo vipi wadau,nauliza kama kuna mtu mwenye updates kuhusu hii company post ya trainee customer care representative/administrative assistant..asanteni!
Advans interview ya dar tayari,written ilikuwa jmos tar 19,and oral imefanyika jana..I was there,nasubiri majibu tu sasa!but kutakuwa na other interview kwa waliopo mbeya jmos itakuwa written..wakimaliza,wataungana na watu wa dar for 2 months training!
yap imerudiwa,walitangaza tar 1 march..niliapply by e-mail na ilikubali...juzi nimeona wamerudia tangazo tena.Mimi nilitumia e-mail hii back then.....hrrecruit@eximbank-tz.com
ob Opportunities at Exim Bank Tanzania
Exim Bank Tanzanias continued success relies on its core values, it provides platform for flourishing opportunities for each employee to be a capable leader.
Our winning culture mandates that we invest in people, promote learning and remain endlessly...
Huwa inatokea kusahau post uliyoapply..ilinitokea back then,nikatafuta notebook..huwa na note chcht nachoapply iwe by email or by posta..plus post ya wa2 wangapi!short org history..anza sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.