Recent content by My story

  1. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    Chumba kipo na sebule self kodi laki moja tu. Miezi 3.
  2. My story

    Mwanafunzi atuhumiwa kuua mwenzake chuoni

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    Malipo ni laki moja kwa mwezi na nimebakiza miezi 3, malipo ni miezi 6 kila baada ya mkataba kuisha
  4. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    Kiko hapa nyegezi standi mpya
  5. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    King'amuzi na jiko la gesi liko full gesi vyote nataka 100k tu.
  6. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    Tv na kitanda bado vipo karibuni kwa wakazi wa mwaza
  7. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    Zanzibar hakuna huwezi kupata Tv nchi 40 series 5 kwa 400k Zanzibar kuna tv za mtumba ambazo nyingi ni series 3. Kwa zanzibar dukani inauzwa 750k
  8. My story

    SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

    Apdate vyote vimeuzwa. Kwa anayehitaji chumba na sebule Nyumba ya kisasa yenye jiko, chumba self, luku na maji unajitegemea. Kodi laki moja tu kwa mwezi Nimebakiza miezi mitatu na siku kadhaa so utanirudishia miezi mitatu kamili Karibuni sana Eneo ilipo ni Nyegezi karibu na standi mpya
  9. My story

    Nahitaji mwalimu wa Kiingereza kutoka Kenya

    Asante sana mkuu, umenipa mwanga. Na umeongea jambo moja muhimu sana ambalo pia nililizingatia, nalo ni la uchapakazi. Najua kuwa WaTz wapo wengi ambao wanaweza kufanya hii kazi ila changamoto ni uchapakazi wa ndugu zangu WaTz ndo nilioutilia mashaka.
Back
Top Bottom