Recent content by My Saga

  1. My Saga

    Simu inauzwa

    Bado ipo? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. My Saga

    Samsung j7 prime

    Bado ipo? Hio crack naona iko juu ya kioo je imeshuka mpaka chini ya display? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. My Saga

    Tunaifuatilia habari, hamuwezi tena kutulisha matango pori

    Mkuu, ulishawahi kukosa usalama? Lissu kanusurika kifo akiwa hapa kwa hao watanzania unaosema, watanzania ambao wamekataa kufanya uchunguzi wa shambulio lake, watanzania ambao wamezuia mshahara wake, watanzania ambao wamekataa kutoa pesa ya bunge kumtibia? Hebu tuambie aje awaeleze watanznia...
  4. My Saga

    Tunaifuatilia habari, hamuwezi tena kutulisha matango pori

    Mkuu tusaidie tafsiri ya WIZI kwenye penal code inasemaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. My Saga

    Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

    Imevujaje ? Wakati naona kuna mtu mwingine anarecord tena yuko mbele hapo na hajaficha recorder yake ? Na Lissu anasema anajua taarifa zikiwafikia wengine watasema amekua omba omba which means haikua kikao cha siri Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom