Ndg yng motochina kila mtu anauhuru wa kutoa mawazo yke bila kujali anamahitaji na jambo fulani zaidi ya maslahi ya nchi. Bahati mbaya sn hujui ulisemalo
Afterow serikali haikurupuki, tuna kila sababu ya kumuunga mkono JPM kwa dhamira yke ya Dhati ya kuhakikisha Tz I naondokana na utegemezi. Tuzalishe zaidi wenyewe vijana waweze kupata ajira.
Hatmaye mbunge wa Dingida kaskazin mh. Nyalandu leo ktk mkutano wa jimbo Ilongero ametangaza rasmi nia ya kugombea urais 2015.
Ktk hali isiyotarajiwa hivi karibuni mbunge huyo alishushiwa shutuma nzito na UVCCM wilayani kwake na kupewa siku 14 kujibu hoja za vijana hao.
Leo anatangaza nia na...
Tunakupongeza sn Dr. Mwakymbe kwa harakati zko za kupambana na ufisadi,tunatambua vita kubwa uliyonayo ndani na nje. Sikuzote muuza utumbo hakwepi nzi. Keep it up!
Thnk Big! Pia huna uwezo wa kuhoji udr. Kwny jambo km hili ambalo watz waliowengi wanalipongeza jambo hili,acha ushabiki ni lazma uthbitishe alipokurupuka na ujue hao wafanykz wanaendaje kwke,issue inaonesha dhahili wizara ya kilimo itawajibika kukaa na wafanykz waliostaafu.
Ni lazma muwe analytical kwny issue km hii inayoleta utata,ni vema tujiulize kwn mpk sasa nchi yetu inawafanyakazi wastaafu na imeathiri kwa kiwango gani taifa hili na nn kifanyike sasa?
Ww inaonekana ni mgonjwa wa akili unafuata maneno ya lema bila kufikiri,hebu fikiri kwnza sio kila kinachosemwa na yeyote kina ukwl. Hivi lema tangu lini amekuwa mjumbe wa cc ccm? Thnk Big
Lema leo kamtambua Rais, ama kwl nidhamu ya uoga inafundisha. Nashkru wadau mmemwelimisha alichosema Rais nasio upotishaji wa lema kwa umma. Ila si shangai ni kwaida yenu kupotosha ukwl lkn kwhili lema umechemka sn huna nafasi yakupotosha umma tena. Nitawashangaa watu wa arusha kuendele na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.