Recent content by Mwl. Kaijage

  1. M

    Mgombea urais act-wazalendo kufanya mkutano leo jimbo la kasulu mjini

    Mgombea Urais Wa Chama cha ACT-WAZALENDO Mama Anna Mghwira atafanya mkutano Leo ktk jimbo la Kasulu.Mama Anna Mghwira ameambatana na Mgombea Mwenza na pia atakuwepo Kiongozi Wa Chama cha ACT-Wazalendo Ndugu Zitto KABWE.Mkutano unafanyika viwanja vya Kiganamo Kasulu.Mgombea Urais pia atamuombea...
  2. M

    CV ya ana Mghwira Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaeweza kuleta mageuzi ya kweli.

    Mama Anna Mghwira ni muadilifu kuliko Magufuli na Lowassa.
  3. M

    Mgombea urais wa ACT-Wazalendo ni Samson Mwigamba

    Chama cha ACT-Wazalendo kinamsimamisha Ndugu Samson Mwigamba kuwa mgombea Urais wa Chama hicho. ACT-Wazalendo watafanya Mkutano MKUU wa Kidemokrasia wa kupitisha jina la Mgombea Urais. ACT-Wazalendo kimemsimamisha mtu muadilifu tofauti na vyama vingine.
  4. M

    ACT-Wazalendo kutikisa Mkoani Kigoma leo, Kuhutubia Kibondo na Kasulu

    Chama cha ACT-WAZALENDO kinatarajiwa kufanya mikutano mikubwa ya kukieneza chama hicho ktk WILAYA za Kibondo na Kasulu.Wahutubiaji Wa mikutano hiyo ni Kiongozi Wa Chama Zitto Kabwe na Mwenyekiti Wa Chama Anna Mghwira na Viongozi wengine Wa TAIFA. Maandalizi yote yamekamilika na watu wameanza...
  5. M

    ZITTO: Nilipofukuzwa nilitamani kujiunga NCCR Mageuzi

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa alipofukuzwa wanachama katika chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alitamani kujiunga na Chama Cha NCCR-Mageuzi kwani ndicho chama ambacho kilikuwa kinaendana na itikadi yake anayoifuata na kuiamini ambayo ni...
  6. M

    Mbatia afanya ziara Mkoani Kigoma bila wenzake wa UKAWA

    Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI TAIFA JAMES MBATIA ameanza ziara ya wiki moja mkoani Kigoma. Mbatia amejikuta akifanya ziara peke yake bila kuongozana na viongozi wa UKAWA Mkoani Kigoma. Viongozi wa NCCR-MAGEUZI walipowahitaji wenzao wa UKAWA hasa wa Chadema na CUF waliambiwa kuwa UKAWA upo Makao...
  7. M

    CHADEMA washindwa kufanya mikutano Bariadi na Maswa

    Weka picha za mikutano hiyo kama ni uongo, Mikutano imeshindwa kufanyika kisa watu walikuwa kiduchu.
  8. M

    CHADEMA washindwa kufanya mikutano Bariadi na Maswa

    Tuwekee picha tu inatosha ili tuone jinsi mlivyoaibika.
  9. M

    CHADEMA washindwa kufanya mikutano Bariadi na Maswa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimejikuta katika wakati mgumu ambapo wameshindwa kufanya mikutano katika wilaya ya Bariadi na Maswa mkoani Simiyu. Baada ya chama cha ACT-WAZALENDO kufanya mikutamo katika wilaya hizo, CHADEMA nao walitangaza kufanya mikutano kwa siku ya leo. Naibu katibu...
  10. M

    ACT - Wazalendo kufanya mkutano mkubwa Mkoani Simiyu, Bariadi na Maswa

    Chadema makao makuu kwa sasa hapakaliki kisa ACT-WAZALENDO
  11. M

    ACT - Wazalendo kufanya mkutano mkubwa Mkoani Simiyu, Bariadi na Maswa

    Chama cha ACT-WAZALENDO kinafanya mikutano ktk mkoa wa Simiyu baada ya kumaliza ktk mkoa wa Mara mjini Musoma. Tayari nipo mkoani Simiyu na watu wameshaanza kujitokeza katika hivi vya mkutano. Tutawaletea kila kitakachoendelea ktk eneo hili la Mkutano.Tayari wamemaliza mkutano ktk wilaya ya...
  12. M

    Mkutano mkubwa wa ACT - Wazalendo Musoma Mjini (Tarehe 20 Aprili, 2015)

    Kama una uhakika na kuzomewa,weka sauti hizo, mbona sisi tumeweka picha za Mkutano wa Musoma.
  13. M

    Mkutano mkubwa wa ACT - Wazalendo Musoma Mjini (Tarehe 20 Aprili, 2015)

    ACT-WAZALENDO yapenye Musoma Mjini.
Back
Top Bottom