kwa mtu mwenye tatizo kama hili achukue manemane na aisage na kuwa unga laini kisha awe ana nyunyizia kichwani sehemu iliyoathirika inshaallah utapona na tatizo kuondoka.
Assalamu alaikum, Leo nipeonelea kutoa mada hii maana tatizo hili linawakumba wanawake mbali mbali kwasababu mbali mbali ikiwemo
Hormone imbalanced
Utumiaji wa dawa za upangaji uzazi.
Matatizo ya kijini.
Na matatizo mengineo mengi tu. Kwa mtu mwenye tatizo kama hili ana takiwa kwanza ajue...
Kwanza kabla sijatoa tiba, dawa ya jino sio kung'oa ila dawa yake nikulitibu. Mara nyingi ugonjwa wa meno husababishwa na bakteria wanaoathiri kinywa ndio mtu akashauriwa apige mswaki kila baada ya kula ama hususan usiku kabla ya kulala. Kwa tiba chukua mdaa, shabu na karafuu zote zikiwa unga na...
1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula.
2. Usinywe maji ya baridi.
3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja.
4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari.
5. Usile mayai na maziwa kwa pamoja ni hatari sana.
6. Usile samaki na mayai inaweza sababisha madhara ya...
Assalamu alaikum.
Leo napenda kutoa faida ya mtu anae matatizo ya MAUMIVU YA VIUNGO. Kabla sijatoa tiba Mara nyingi tatizo hili linasababishwa na baridi na wale wanapendelea sana kula Nyama nyekundu kama ya ng'ombe, mbuzi na kondoo. Kabla hujatumia dawa yeyote hii jitahidi kuepuka mambo hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.