Pole na majuku ya kazi wakuu
Kwakweli sisi wananchi wa Sumve , Misungwi mwanza tunapata tabu Sana tangu miezi minne tumefanya mchakato wa umeme
Lakini mpaka leo tunaambiwa hakuna nguzo za kuunganisha umeme majumbani mwetu.
Tunaomba wenye mamlaka na ili jambo watusaidie maana tunaona kama...
Kwakweli hii story inafundisha na inaelimisha.
Yaaani ulimwengu una mambo mengi sana Lwanda Magere umetoa Elimu kubwa Sana kwa jamii na kupitia story hii nitaakikisha watu wa karibu yangu wanasoma hiki kitabu,
Please kitabu Cha sehemu ya pili naomba nijulishwe lini kitakuwa tayari.
Tunauza samaki wa maji chumvi
Pata samaki wa Maji Chumvi kwa kiwango utakacho toka kwetu
Kwa kilo tunauza 7500
Kama utachukua kuanzia kilo mia moja bei inapungua.
Wasiliana nasi kwa namba
0765758624
Pata magazeti safi kwa matumizi mbalimbali
Tunauza kilogram 15 kwa shillingi 20,000/=
Mkoani tunakutumia usafiri tutachangia kama utachukua kuanzia kilograms 1000
Wasiliana nasi kupitia namba 0683588226
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.