Ni vyema zaid kulizungumza jambo ambalo unaujuzi nalo na kama hufahamu ni vyema zaid kunyamaza ipo tofauti kubwa kati ya uislam na waislam maana uislam ni haki na kweli tupu bali waislamu ni walio amua kuufwata na niwenye kufanya makosa, waarabu sio waislamu bali wapo waislamu wa arabu soma...
Unajaribu kujenga hoja pana mkuu maana kama hoja yako ikitendewa kaz inamana wing wa wanake unaweza kufanya idadi ya maraisi wanawake kuongezeka duniani, lakin pia hata sasa bdo sisi niwatumwa wao huenda kikubwa wa afrika wengi tunasahau mapema na hatuna wakati wa kutafakari na kujitambua
Sidhani kama tatzo nila shilole jamaa ndio mpuuz na walishawah kusema kama hujui unapokwenda huwez kupotea, yy wa mjini lakin bdo anachezea vitasa lazma hayupo sawa na hatendei haki nafasi yake kwan mwili hufwata kicha na hayo ndio matokeo ya udhaifu wake
Wewe mtaro unatabu kweli kweli unaongea acha kukimbilia wengine, unanuka hujiui kuchibwa mtaro na kupaka make up wanaume ni mambo mawili tofaut acha mawazo madogo sikatai kupandwa hasa na warembo coz ndio wananogesha mambo vp ww kaz kuwaza kujamba jamba na makutu wenzio
Mweusi sio ngazi hawez nipanda na kuhusukuwa bwana wang hapana mm sio wa kiivyo umeongea pumba ndio mana nika kusahihisha mrembo usikasirike maana kisirani kama pili pili mbovu we kama unamtaka kuwa muwaz bt sio unaponda na kupandikiza chuki
Faiza usi2mie dini kumtusi mja wa mwenyez mungu wala kauli kali kwa wasio waislamu kwani sio kujenga dini bali nikupotosha ndugu yangu ktk imani maana hata Nabii Musa aliambiwa na mwenyez Mungu amlinganie Fir aun kwa maneno matamu na ya upole sasa kama ndivyo bac hyo haswa ndio njia ya...
"Usicho kiona usiamini labda Mungu,Unachoskia ndio kabisa inaweza kuwa majungu mjinga ndiao anaamini kuna gundu ila ukimwamini Mungu utaona yote ni fununu tu" Jiongeze Dina au kuna kingine nyuma ya pazia kama hakuna una toa ushahidi mara moja maana mpk ww umejua bac huenda unalakukuaminisha
Kama alisema hafikiri hilo, sarafu inapande mbili wala maneno yake sio sheria kasema kwa sasa yupo tayari elewa hvyo acha kuupa ubongo maswali magumu yasiyo natija. Kila jambo na wakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.