Recent content by mwenyengekewa

  1. M

    IPP Media na Kuangalia Fursa kupitia ITV, Radio One na Magazeti yao

    Wakiamua hata wasionyeshe kabisa, kitu kizuri njia za kupata taarifa siku hizi ni nyingi sana. Kupitia internet, IM tutazipata tu taarifa za ukawa. Na kura tulishampa EL kitaaambo. Tunasubiri oct 25 tu. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  2. M

    Wagombea wenza: Samia Suluhu (CCM) na Haji Duni (CHADEMA/UKAWA) nani mzuri kunadi ilani

    Babu anagusa mahitaji ya jamii zaidi, yuko sawa. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  3. M

    Picha: Mama akichanja mbuga nyumba kwa nyumba huku mumewe akiwanyima usingizi CCM

    Kila siku wanakuja na jipya, mara fisadi, mgonjwa, Makapi, mzee, oil chafu, leo wamehamia kwenye udini, sijawahi kuona udini kwenye nchi yetu. Waache kutupotosha. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  4. M

    Magufuli acha vitisho, tumebalehe kiakili

    Siyo jambo zuri kiongozi kama yeye kuhubiri ya Libya, wakati suala la Libya liko wazi kuwa pale tatizo siyo wananchi pekee. Lakini ni msukumo kutoka mataifa makubwa katika kuondoa udikteta. Sasa nchi yetu tuna utaratibu wa kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano. Hapo makufuli anapindisha...
  5. M

    Utabiri: UKAWA Kuibuka washindi dhidi ya CCM. Kikwete kusalimu Amri kwa Lowassa

    Tunahitaji Tanzania mpya yenye fikra ya maendeleo, uzalendo,uwajibikaji na uchapakazi pasipo kuangalia undugunazation. Viva Tanzania. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  6. M

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Swali la kwanza ni kwa nini aliacha upadri? Ukristo unaruhusu kuvunja ndoa na kuoa mwanamke mwingine? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  7. M

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    UKAWA Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Back
Top Bottom