Dr. Mwakyembe kuwa na hisa ama kumiliki kampuni ya kufua umeme hakufuti 'zambi' za Richmond na baadae Dowans.Kwanza yeye kama mtanzania na mbunge anayo haki na wajibu wa kikatiba ya kutoa maoni na kutetea maslahi ya taifa bila kujali 'interest' zake.
nadhani si sahihi katika hili kumhukumu eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.