Mwaka 2016...mzee mmoja aitwae STIVIN anayeishi mkoa wa RUVUMA wilaya ya mbinga Dc aligongwa na gari kampuni ya SUPERFEO inayofanya safari za Mbinga to Dodoma hadi kupelekea kupoteza miguu yake yote miwili.
Jambo la kusikitisha ni kwamba Kampuni hiyo haikutoa msaada wowote kwa mzee huyo.Pia...
Serikali tuomba iingilie kati maana sio kwa makato tunayokatwa na hao wa mitandao hasa Tigo nimewachokaaaaa Sana mwanzo kifurushi Cha saiz yako nilikuwa najiunga kwa Tsh.1500
Nilikuwa napewa dk 250 sms 100 na Gb 1.3...kwa wiki.....ghafla washaadilisha 2500 dk 75 +50 sms 100 Gb 1 kwa wiki.
Huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.