Recent content by mwene original

  1. M

    Utafiti wa twaweza unashabihiana na maoni ya tume ya warioba

    Walioba ni msema kweli mungu mtie nguvu pole na matusi na dharau ya ccm
  2. M

    Utafiti wa twaweza unashabihiana na maoni ya tume ya warioba

    Kweli kabisaaaa hakuna mwananchi anayemuongelea vibaya walioba wengi wanasikitika anavyotukanwa
  3. M

    UKAWA Wapigwa Bao la Kisigino

    Zanzibar itakua kamili tu jana mtoto wa mwinyi nae alichangia kuwa zanzibar ipewe sovereign na muungano eti uendelee ccm walishangilia yani wanatuona wa bara tupo poa hatuna kelele
  4. M

    UKAWA Wapigwa Bao la Kisigino

    Ni bora wasipate posho kuliko matusi, kejeli, dharau
  5. M

    Kwa staili hii ya CCM kweli tutafika?

    Ccm hawataki uadilifu na uwazi basi waingize ufisadi luksa
  6. M

    Kwa staili hii ya CCM kweli tutafika?

    Ccm ndugu zangu insikitisha matusi yenu, kejeli zinawacanganya wananchi, kikwete alimchagua walioba kukubali kwake kuwa mweyekiti ni kosa jamani, kila mtu aiyepewa kukusanya maoni katika nchi hii ni mbaya kwenu , muongo huyu mzee wa watu mutamuu bure kama mnataka selkali mbili toeni hoja za...
  7. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    We need strong argumet,reasoning sio mipasho namachambo ya ccm, hivi wabungewote mnakubali hali hiyo
  8. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    Hakuna majibu yaliyotolewa kwa watu wenye akili timamu, upeo wakufikri juu ya kumaliza kero kuptia selikali mbili katika katiba ijayo sasa ccm mnaimba taarabu bungeni baada ya kutoa strong argument
  9. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    Hata jana nimesikiliza mnamlalamikia jaji walioba hivi kama wananchi hawakwenda wengi kutoa maoni mlitaka walioba awafuate majumbani? Mbona wakati wa uchaguzi mkichaguliwa na wananchi wachache hamkatai hizo nafasi kuwa mumechaguliwa na wananchi wachache? Iweje leo mumlalamikie walioba? Wakati...
  10. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    unajua nyinyi CCM KAMA MNATAKA SELIKALI MBILI MNAVYOCHANGIA MUWE MNATOA NA MAJIBU YA KERO ZA MUUNGANO HAPO TUNAWEZA KUELEWA MNACHOTUCHANGANYA WANANCHI MNATOA MANENO YA KEBEHI, VITISHO, MIPASHO BILA KUJIBU HOJA TOENI MAJIBU YA KUMILIKI ARDHI, KATIBA YA ZANZIBAR, WIMBO WA TAIFA, BENDERA YA...
  11. M

    Ufisadi wa kutisha wa Bernard Membe

    shemeji yake ndio yeye ?
  12. M

    Tanganyika Siijui

    Zanzibar hawataki selikali moja ndo mana tunataka tanganyika yetuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
  13. M

    UKAWA kupoteza Imani ya Wananchi na kuvurugika endapo wakiendelea kuwa 'kondoo'!

    tanganyika safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ukawa kazaneni
  14. M

    Kamati ya Maridhiano ya Mzee Moyo Na kada wa ccm Baraka Shamte katika kipindi maalum cha redio Znz .

    ccm wawe na huruma na tanganyika jamani hata wakilazimisha sasa? baada ya miaka kadhaa muungano hakuna hiki ni kizazi kingine
  15. M

    Nyerere na Karume si msahafu

    tanganyika oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Back
Top Bottom