Recent content by mwendomdundo

  1. M

    Mjadala: Kuhusu Uchaguzi wa Zanjadala - Humphrey Polepole na Ismail Jussa

    Kwasababu watu wa ccm wanatumia tumbo kujibu hoja,wakati wa upinzani wanatumia kichwa kujenga hoja.Nadhani umenielewa namaanisha nn mdau!!
  2. M

    Ccm hawapendi 25 oktoba 2015 ifike haraka

    Mi nilipata mchongo wa kusimamia uchaguzi nimekataa ili nisikose kuichinja ccm tarehe 25
  3. M

    Tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi: Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

    Yes vina uhusiano mkuu.Kisukari kinatibika tofauti na watu wanavyoaminishwa kwamba hakiponi
  4. M

    Mwakalebela afunika vibaya Iringa (mafuriko)

    Hahaha hahaha! Dah!
  5. M

    Bidhaa bora za afya

    Bidhaa zenu ni za kutoka nchi gani na ni za aina gani?
  6. M

    Yaliyojiri ACT-Wazalendo huko Kigoma

    Nahisi kama vile kina bendera nyingi kuliko wanachama!!Hongera wafadhili wa chama
  7. M

    Dr. Slaa kufanya mahojiano na Tido Mhando Azam Two kesho Jumapili saa 3 asubuhi

    Wapinzani watarajiwa leo siwaoni.Njooni japo labda mnayo fununu nini kimetokea!!
  8. M

    Dr. Slaa kufanya mahojiano na Tido Mhando Azam Two kesho Jumapili saa 3 asubuhi

    Kipindi kilikuwa recorded why akijarushwa,au wamegundua baada ya kisaidia kumbomoa Lowassa na Ukawa ndio kwanza wanazidi kumpaisha?
  9. M

    UKAWA ya Dr Slaa INGESHINDWA kwa 10%-, UKAWA ya Lowassa ITASHINDA kwa 68%+

    Ndio umeandika nini wewe?Shirikisha akili kabla ya kukurupuka!
  10. M

    Zitto Acha ubaguzi wa kijinsia.

    Umenena vyema mkuu! !Mi nafikiri tuishie hapa maana kuendelea kumjadili uyu msaliti wa mabadiliko ni kumpa shavu la bure.
  11. M

    Nimepata picha, kwanini CCM ilimtosa Sumaye kwa miaka 10

    Sumaye jana kafanya nijione mpumbavu kwa kuwapigia kura ccm.Dah!Yaani natamani uchaguzi ufanyike leo ili nikafanye yangu katika sanduku la kura.Pigia Lowassa pigia Ukawa.Ondoa ccm ili tukabadilishe mfumo.kwa maslahi ya nchi
Back
Top Bottom