She paid on time simu zililetwa zikawa mbovu sasa since last year August? Mpaka leo simu hazijafika na simu wamekua hawapokei niliongea na manager wao akasema atanipigia the next day baada ya kutala nirudishiwe pesa yangu sikuona simu na nikipiga hawapokei, nilifikiri ni mimi tuu kumbe kuna jopo...
Habari ya leo wana JamiiForums wenzangu na waTanzania wenzangu,
Napenda kuwaletea habari hii inayuhusu kampuni moja inayoitwa Agiza Kimchina ambayo ipo maeneo ya Salasala katika jengo la Kimchina Dar es Salaam, Mke wangu aliagiza simu kutoka china kupitia kampuni hiyo toka mwaka jana mwezi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.