Recent content by Mwenda zake

  1. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (ukoloni mamboleo)?

    mwenda zake nimechoka kuona nchi ikichezewa
  2. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (ukoloni mamboleo)?

    JE WAJUA NI JINSI GANI WAKOLONI WANATUTAWALA KIDIGITALI(UKOLONI MAMBOLEO) NA WALIVYOMZUNGUKA MWENDAZAKE Habari ndugu zangu wa JamiiForums, Ninaanza na kueleza nini maana ya Ukoloni mamboleo ni ile hali ya zile nchi tajiri duniani kuingilia masuala ya nchi zinazoendelea kijamii ,kiuchumi na...
  3. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Kwenye taasisi kubwa kama hosipitali haswa ambazo wazungu wametoa msaada wa kuweka mitambo ya kidijitali na baadae watanzania wakaajiriwa huwa wanabaki na backdoor nyingi ambazo mwafrika mlala hoi aliyeajiriwa akitaka kuizuiwa ghafla anafukuzwa kazi tena na mwafrika mwenzake ambaye amesomeshwa...
  4. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    SIO KUTU NI KITU AMBACHO KIPO USIFIKIRI NI JAMBO LAZAMANI
  5. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    backdoor zote lazima zifungiwe Haaaaaahaaaaa aise kipindi cha uchaguzi uliweza kukaa bila internet
  6. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Salama kabisa naomba kura yako niamke na roho za vijana zilizokufa ziwe hai zenye uzalendo
  7. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Jamani mwenda zake anahitaji kura zenu usisahau
  8. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Nachokiongea kipo siri nyingi za nchi zinavujaa je inamaana hamna wasomi Tanzania wanaoweza kukagua hii mifumo au mpaka tumsubiri mzungu aje kutukagulia mifumo yetu
  9. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Nakubaliana na wewe asilimia mia moja ukiwa na nidhamu automatic utakuwa mzalendo
  10. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Kutumia cha mzungu kisikuondole Uzalendo wako mimi naamini tunaweza sisi kama waafrika kufanya mambo makubwa
  11. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Kweli leo hii upo Tanzania asubuhi unaenda ofsini ukifika mzungu anakwambia ufanye kazi flani na flani jiulize kama hamna faida kwanini wanang'ang'ania kuangalia kwenye seva zetu tena za muhimu sana kama hosipitali
  12. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Asante sana sijamaanisha uache kutumia simu nahitaji tuweze kutumia wataalamu wetu wa ndani kufanya mambo yetu na pale tunapotumiwa tusitumike tuwe wazalendo
  13. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Kwasabu mzungu anakuvalsha,anakulisha anakupa gari la kutembelea anakusomeshe ndo utumiwe kuwatesa waafrika wenzako
  14. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    Mwisho wa siku tuwasujudie eti kisa barua pepe ni ya mzungu ,
  15. Mwenda zake

    Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

    haaaaaahaaaaaa kwahiyo unakubali sisi ni dunia ya tatu na ni kipi unajivunia kuwa Mwafrica na kipi wewe kama mwafika unaweza kufanya?? Kunachanjo za Corona Zinazalishwa Sauth Africa hautatumie eti kisa zimezalishwa na Mwafrika kwa kuamini waafrika hatuwezi? Hata huko Madagasca Je Afrika...
Back
Top Bottom