Mwenda zake
Member
- Sep 9, 2021
- 26
- 14
JE WAJUA NI JINSI GANI WAKOLONI WANATUTAWALA KIDIGITALI(UKOLONI MAMBOLEO) NA WALIVYOMZUNGUKA MWENDAZAKE
Habari ndugu zangu wa JamiiForum ,
Ninaanza na kueleza nini maana ya Ukoloni mamboleo ni ile hali ya zile nchi tajiri duniani kuingilia masuala ya nchi zinazoendelea kijamii ,kiuchumi na kisiasa. Mara nyingi huwa wanaingia kwenye nchi hizo wakijaribu kuangalia fursa zilizopo mfano madini,mafuta na mali mbali mbali mfano nchi kama DRC kila kikicha ni vita kwasababu wana eneo kubwa lenye rasilimali nyingi
Kimsingi ukoloni mamboleo ni muendelezo wa sera za kikoloni baada ya uhuru, ambazo zinaendelea kumkandamiza Mwafrika na kumbadilisha afuate taratibu za Mzungu eti kisa wanampa msaada mfano hapa hapa nchini Tanzania kunabaadhi ya hosipitali watu wamekaa maofsini lakini wanaofanya kazi za kimitandao wapo nje kwa kuwa mitambo hiyo ya kidijitali iliwekwa na wazungu kipindi cha ukoloni na hata baada ya ukoloni wazungu humiliki maneno au nywira zote eti kisa wametupatia msaada ila ukifuatilia utakuta waajiriwa wote kwenye hizo taasisi kuanzia darasa la kwanza kasomeshwa na mzungu mpaka chuo kikuu ,huyo huyo mzungu anamtumia mpaka nguo za kuvaa na gari analotembelea ni la mzungu na Watoto wake wanasomeshwa na mzungu basi na ukurugenzi anapewa na mzungu.
Mwisho wa siku kijana mlala hoi wa kimaskini anaajiriwa katika hiyo hospitali anakuta kazi zote zinafanywa na Mzungu remote kitaalamu inatakiwa kuwa na kiunganishi kimoja cha kupata data (IP Adress) lakini unakuta hospitali ina IP Address Zaidi ya saba ambazo hutumiwa kama njia za panya za kuingia kwenye mfumo zinazotumiwa na hao wazungu, inasikitisha sana kama unavojua dunia ya leo data ni kitu cha muhimu sana wazungu wanacho kifanya ni kukopi na kutumiana katika taasisi zao mbali mbali wanaangalia ni jinsi gani Tanzania immeathirika na magonjwa mbali mbali mfano UKIMWI,CORONA, KIFUA KIKUU, daah Mwenda zake akasema hawajui takwimu ila huwezi amini wanazijua, mtoto wa kizungu akitaka kufanya mazoezi anakuja Afrika anawachachana kwenye operation mbali mbali,anamuandikia andikia tuu dawa yeyote mgonjwa wa Kiafrika ,Daktari wa kiaafrika akimwambia unakosea, utasikia yule mwafrika mwenye uongozi aliyesomeshwa na mzungu kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu na anatembelea gari la mzungu anamwambia huna kazi na matusi juu eti kisa kamwelekeza daktari wa kizungu, huu ni ujinga kabisa nashangaa sana mtu anakosa uzalendo eti kisa kasomweshwa na Mzungu ,binafsi nikiwaona wanavyosema wanatupa misaada moja, mbili ,tatu nasita sana na sana ,Kwa ujumla ukoloni maomboleo ni zao la uongozi mbaya ambao huwa na matabaka wenye lengo la kuwafaa wachache ili hali wengi wanaumia haswa wale wasionacho
Namkumbuka sana Mwenda zake kwani alikuwa mzalendo Sanaa waliomtangulia walisaini mikataba ya hovyo hovyo lakini hakufuata hiyo misingi eti kisa aliyemtangulia alinunuliwa nguo na mzungu,kasomeshwa na mzungu,analishwa na mzungu na anatembelea gari mzungu akapambana na mabepari ila wao wakamwita mshamba, kisa hataki kuwa mwanafamilia wa kizungu kwa kukataa tabia zao za hovyo eti mwanaume uolewe inauma sana kwenye rasilimali kama madini eti nchi inapata faida asilimia tano katika miamoja alafu wao wanachukua asilimia 95% akasimama bila kujali waliomtangulia walilishwa na mzungu na kusimamia uzalendo na kuondoa maumivu kwaafrika wenzake,
Chondechonde kama unataka kuwa kiongozi usitumikishwe na ukoloni mamboleo simama uwe mzalendo naamini tutakukumbuka si kwa mabaya bali kwa mazuri mchana na usiku dua zetu kwako,maisha ni mafupi ilikuwa jana tu nilikuwa mchanga leo nimekuwa mzee kesho naondoka ni kheri nisimamie haki leo kesho nitapewa mshahara wangu na allah kule kwenye hazina yangu ya milele
Hitimisho
Naishauri kwanza Kwa viongozi msipende sana vya hao wazungu eti kisa mzungu kakusomesha,anakunulia nguo, amekupa dawa isisababishe uisaliti nchi yako tujifunze kuwa wazalendo kwa sababu wataalamu wapo lakini hawautumii ujuzi wao eti mpaka mzungu afanye inaumaa sana mtoto wa mlala hoi atafanyaje Zaidi ya kukaa kimya
Serikali inabidi itafute wataalamu wazuri wakufanyia ukaguzi wa mifumo yate ya kidijitali kama jinsi wanavyofanya kwenye taasisi zingine mfano ukaguzi wa matumizi ya fedha
Serikali ihakikishe mifumo yote iunganishwe kwenye data center ya taifa na kuhakikisha hakuna anayeweza kuingilia mifumo yote na kuwekeza kwenye technolojia zinazokuja zenye usalama Zaidi kama blockchain
Habari ndugu zangu wa JamiiForum ,
Ninaanza na kueleza nini maana ya Ukoloni mamboleo ni ile hali ya zile nchi tajiri duniani kuingilia masuala ya nchi zinazoendelea kijamii ,kiuchumi na kisiasa. Mara nyingi huwa wanaingia kwenye nchi hizo wakijaribu kuangalia fursa zilizopo mfano madini,mafuta na mali mbali mbali mfano nchi kama DRC kila kikicha ni vita kwasababu wana eneo kubwa lenye rasilimali nyingi
Kimsingi ukoloni mamboleo ni muendelezo wa sera za kikoloni baada ya uhuru, ambazo zinaendelea kumkandamiza Mwafrika na kumbadilisha afuate taratibu za Mzungu eti kisa wanampa msaada mfano hapa hapa nchini Tanzania kunabaadhi ya hosipitali watu wamekaa maofsini lakini wanaofanya kazi za kimitandao wapo nje kwa kuwa mitambo hiyo ya kidijitali iliwekwa na wazungu kipindi cha ukoloni na hata baada ya ukoloni wazungu humiliki maneno au nywira zote eti kisa wametupatia msaada ila ukifuatilia utakuta waajiriwa wote kwenye hizo taasisi kuanzia darasa la kwanza kasomeshwa na mzungu mpaka chuo kikuu ,huyo huyo mzungu anamtumia mpaka nguo za kuvaa na gari analotembelea ni la mzungu na Watoto wake wanasomeshwa na mzungu basi na ukurugenzi anapewa na mzungu.
Mwisho wa siku kijana mlala hoi wa kimaskini anaajiriwa katika hiyo hospitali anakuta kazi zote zinafanywa na Mzungu remote kitaalamu inatakiwa kuwa na kiunganishi kimoja cha kupata data (IP Adress) lakini unakuta hospitali ina IP Address Zaidi ya saba ambazo hutumiwa kama njia za panya za kuingia kwenye mfumo zinazotumiwa na hao wazungu, inasikitisha sana kama unavojua dunia ya leo data ni kitu cha muhimu sana wazungu wanacho kifanya ni kukopi na kutumiana katika taasisi zao mbali mbali wanaangalia ni jinsi gani Tanzania immeathirika na magonjwa mbali mbali mfano UKIMWI,CORONA, KIFUA KIKUU, daah Mwenda zake akasema hawajui takwimu ila huwezi amini wanazijua, mtoto wa kizungu akitaka kufanya mazoezi anakuja Afrika anawachachana kwenye operation mbali mbali,anamuandikia andikia tuu dawa yeyote mgonjwa wa Kiafrika ,Daktari wa kiaafrika akimwambia unakosea, utasikia yule mwafrika mwenye uongozi aliyesomeshwa na mzungu kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu na anatembelea gari la mzungu anamwambia huna kazi na matusi juu eti kisa kamwelekeza daktari wa kizungu, huu ni ujinga kabisa nashangaa sana mtu anakosa uzalendo eti kisa kasomweshwa na Mzungu ,binafsi nikiwaona wanavyosema wanatupa misaada moja, mbili ,tatu nasita sana na sana ,Kwa ujumla ukoloni maomboleo ni zao la uongozi mbaya ambao huwa na matabaka wenye lengo la kuwafaa wachache ili hali wengi wanaumia haswa wale wasionacho
Namkumbuka sana Mwenda zake kwani alikuwa mzalendo Sanaa waliomtangulia walisaini mikataba ya hovyo hovyo lakini hakufuata hiyo misingi eti kisa aliyemtangulia alinunuliwa nguo na mzungu,kasomeshwa na mzungu,analishwa na mzungu na anatembelea gari mzungu akapambana na mabepari ila wao wakamwita mshamba, kisa hataki kuwa mwanafamilia wa kizungu kwa kukataa tabia zao za hovyo eti mwanaume uolewe inauma sana kwenye rasilimali kama madini eti nchi inapata faida asilimia tano katika miamoja alafu wao wanachukua asilimia 95% akasimama bila kujali waliomtangulia walilishwa na mzungu na kusimamia uzalendo na kuondoa maumivu kwaafrika wenzake,
Chondechonde kama unataka kuwa kiongozi usitumikishwe na ukoloni mamboleo simama uwe mzalendo naamini tutakukumbuka si kwa mabaya bali kwa mazuri mchana na usiku dua zetu kwako,maisha ni mafupi ilikuwa jana tu nilikuwa mchanga leo nimekuwa mzee kesho naondoka ni kheri nisimamie haki leo kesho nitapewa mshahara wangu na allah kule kwenye hazina yangu ya milele
Hitimisho
Naishauri kwanza Kwa viongozi msipende sana vya hao wazungu eti kisa mzungu kakusomesha,anakunulia nguo, amekupa dawa isisababishe uisaliti nchi yako tujifunze kuwa wazalendo kwa sababu wataalamu wapo lakini hawautumii ujuzi wao eti mpaka mzungu afanye inaumaa sana mtoto wa mlala hoi atafanyaje Zaidi ya kukaa kimya
Serikali inabidi itafute wataalamu wazuri wakufanyia ukaguzi wa mifumo yate ya kidijitali kama jinsi wanavyofanya kwenye taasisi zingine mfano ukaguzi wa matumizi ya fedha
Serikali ihakikishe mifumo yote iunganishwe kwenye data center ya taifa na kuhakikisha hakuna anayeweza kuingilia mifumo yote na kuwekeza kwenye technolojia zinazokuja zenye usalama Zaidi kama blockchain