Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

Mwenda zake

Member
Sep 9, 2021
26
14
JE WAJUA NI JINSI GANI WAKOLONI WANATUTAWALA KIDIGITALI(UKOLONI MAMBOLEO) NA WALIVYOMZUNGUKA MWENDAZAKE

Habari ndugu zangu wa JamiiForum ,

Ninaanza na kueleza nini maana ya Ukoloni mamboleo ni ile hali ya zile nchi tajiri duniani kuingilia masuala ya nchi zinazoendelea kijamii ,kiuchumi na kisiasa. Mara nyingi huwa wanaingia kwenye nchi hizo wakijaribu kuangalia fursa zilizopo mfano madini,mafuta na mali mbali mbali mfano nchi kama DRC kila kikicha ni vita kwasababu wana eneo kubwa lenye rasilimali nyingi

Kimsingi ukoloni mamboleo ni muendelezo wa sera za kikoloni baada ya uhuru, ambazo zinaendelea kumkandamiza Mwafrika na kumbadilisha afuate taratibu za Mzungu eti kisa wanampa msaada mfano hapa hapa nchini Tanzania kunabaadhi ya hosipitali watu wamekaa maofsini lakini wanaofanya kazi za kimitandao wapo nje kwa kuwa mitambo hiyo ya kidijitali iliwekwa na wazungu kipindi cha ukoloni na hata baada ya ukoloni wazungu humiliki maneno au nywira zote eti kisa wametupatia msaada ila ukifuatilia utakuta waajiriwa wote kwenye hizo taasisi kuanzia darasa la kwanza kasomeshwa na mzungu mpaka chuo kikuu ,huyo huyo mzungu anamtumia mpaka nguo za kuvaa na gari analotembelea ni la mzungu na Watoto wake wanasomeshwa na mzungu basi na ukurugenzi anapewa na mzungu.

Mwisho wa siku kijana mlala hoi wa kimaskini anaajiriwa katika hiyo hospitali anakuta kazi zote zinafanywa na Mzungu remote kitaalamu inatakiwa kuwa na kiunganishi kimoja cha kupata data (IP Adress) lakini unakuta hospitali ina IP Address Zaidi ya saba ambazo hutumiwa kama njia za panya za kuingia kwenye mfumo zinazotumiwa na hao wazungu, inasikitisha sana kama unavojua dunia ya leo data ni kitu cha muhimu sana wazungu wanacho kifanya ni kukopi na kutumiana katika taasisi zao mbali mbali wanaangalia ni jinsi gani Tanzania immeathirika na magonjwa mbali mbali mfano UKIMWI,CORONA, KIFUA KIKUU, daah Mwenda zake akasema hawajui takwimu ila huwezi amini wanazijua, mtoto wa kizungu akitaka kufanya mazoezi anakuja Afrika anawachachana kwenye operation mbali mbali,anamuandikia andikia tuu dawa yeyote mgonjwa wa Kiafrika ,Daktari wa kiaafrika akimwambia unakosea, utasikia yule mwafrika mwenye uongozi aliyesomeshwa na mzungu kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu na anatembelea gari la mzungu anamwambia huna kazi na matusi juu eti kisa kamwelekeza daktari wa kizungu, huu ni ujinga kabisa nashangaa sana mtu anakosa uzalendo eti kisa kasomweshwa na Mzungu ,binafsi nikiwaona wanavyosema wanatupa misaada moja, mbili ,tatu nasita sana na sana ,Kwa ujumla ukoloni maomboleo ni zao la uongozi mbaya ambao huwa na matabaka wenye lengo la kuwafaa wachache ili hali wengi wanaumia haswa wale wasionacho

Namkumbuka sana Mwenda zake kwani alikuwa mzalendo Sanaa waliomtangulia walisaini mikataba ya hovyo hovyo lakini hakufuata hiyo misingi eti kisa aliyemtangulia alinunuliwa nguo na mzungu,kasomeshwa na mzungu,analishwa na mzungu na anatembelea gari mzungu akapambana na mabepari ila wao wakamwita mshamba, kisa hataki kuwa mwanafamilia wa kizungu kwa kukataa tabia zao za hovyo eti mwanaume uolewe inauma sana kwenye rasilimali kama madini eti nchi inapata faida asilimia tano katika miamoja alafu wao wanachukua asilimia 95% akasimama bila kujali waliomtangulia walilishwa na mzungu na kusimamia uzalendo na kuondoa maumivu kwaafrika wenzake,

Chondechonde kama unataka kuwa kiongozi usitumikishwe na ukoloni mamboleo simama uwe mzalendo naamini tutakukumbuka si kwa mabaya bali kwa mazuri mchana na usiku dua zetu kwako,maisha ni mafupi ilikuwa jana tu nilikuwa mchanga leo nimekuwa mzee kesho naondoka ni kheri nisimamie haki leo kesho nitapewa mshahara wangu na allah kule kwenye hazina yangu ya milele

Hitimisho

Naishauri kwanza Kwa viongozi msipende sana vya hao wazungu eti kisa mzungu kakusomesha,anakunulia nguo, amekupa dawa isisababishe uisaliti nchi yako tujifunze kuwa wazalendo kwa sababu wataalamu wapo lakini hawautumii ujuzi wao eti mpaka mzungu afanye inaumaa sana mtoto wa mlala hoi atafanyaje Zaidi ya kukaa kimya

Serikali inabidi itafute wataalamu wazuri wakufanyia ukaguzi wa mifumo yate ya kidijitali kama jinsi wanavyofanya kwenye taasisi zingine mfano ukaguzi wa matumizi ya fedha

Serikali ihakikishe mifumo yote iunganishwe kwenye data center ya taifa na kuhakikisha hakuna anayeweza kuingilia mifumo yote na kuwekeza kwenye technolojia zinazokuja zenye usalama Zaidi kama blockchain
 
We ulisoma zamani ni muathirika wa mawazo ya kikomunist.
Enzi za vita baridi mlipandikiziwa chuki ya kuwachukia wazungu kwa maslai ya Mrusi
Haya mawazo hayana tija kwa kizazi cha sasa chenye fikra huru.
Huo ukoloni mambo leo upo afrika pekee? Msihalalishe uvivu wa kushindwa kwetu kwa kuwatupia lawama wengine.
Huko China, Uarabuni, India, vietnam, Malasyia,nk nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi leo zinatupa misaada na zilitawaliwa pia kama sisi wao mbona Wana maendeleo?Ikiwa tuna raslimali tele zimejaa na tumeshindwa kuzitumia hapa kosa ni la nani?

Mawazo ya kikomunist kwa ulimwengu wa Sasa ni upumbavu.
 
JE WAJUA NI JINSI GANI WAKOLONI WANATUTAWALA KIDIGITALI(UKOLONI MAMBOLEO) NA WALIVYOMZUNGUKA MWENDAZAKE

Habari ndugu zangu wa JamiiForum ,

Ninaanza na kueleza nini maana ya Ukoloni mamboleo ni ile hali ya zile nchi tajiri duniani kuingilia masuala ya nchi zinazoendelea kijamii ,kiuchumi na kisiasa. Mara nyingi huwa wanaingia kwenye nchi hizo wakijaribu kuangalia fursa zilizopo mfano madini,mafuta na mali mbali mbali mfano nchi kama DRC kila kikicha ni vita kwasababu wana eneo kubwa lenye rasilimali nyingi

Kimsingi ukoloni mamboleo ni muendelezo wa sera za kikoloni baada ya uhuru, ambazo zinaendelea kumkandamiza Mwafrika na kumbadilisha afuate taratibu za Mzungu eti kisa wanampa msaada mfano hapa hapa nchini Tanzania kunabaadhi ya hosipitali watu wamekaa maofsini lakini wanaofanya kazi za kimitandao wapo nje kwa kuwa mitambo hiyo ya kidijitali iliwekwa na wazungu kipindi cha ukoloni na hata baada ya ukoloni wazungu humiliki maneno au nywira zote eti kisa wametupatia msaada ila ukifuatilia utakuta waajiriwa wote kwenye hizo taasisi kuanzia darasa la kwanza kasomeshwa na mzungu mpaka chuo kikuu ,huyo huyo mzungu anamtumia mpaka nguo za kuvaa na gari analotembelea ni la mzungu na Watoto wake wanasomeshwa na mzungu basi na ukurugenzi anapewa na mzungu.

Mwisho wa siku kijana mlala hoi wa kimaskini anaajiriwa katika hiyo hospitali anakuta kazi zote zinafanywa na Mzungu remote kitaalamu inatakiwa kuwa na kiunganishi kimoja cha kupata data (IP Adress) lakini unakuta hospitali ina IP Address Zaidi ya saba ambazo hutumiwa kama njia za panya za kuingia kwenye mfumo zinazotumiwa na hao wazungu, inasikitisha sana kama unavojua dunia ya leo data ni kitu cha muhimu sana wazungu wanacho kifanya ni kukopi na kutumiana katika taasisi zao mbali mbali wanaangalia ni jinsi gani Tanzania immeathirika na magonjwa mbali mbali mfano UKIMWI,CORONA, KIFUA KIKUU, daah Mwenda zake akasema hawajui takwimu ila huwezi amini wanazijua, mtoto wa kizungu akitaka kufanya mazoezi anakuja Afrika anawachachana kwenye operation mbali mbali,anamuandikia andikia tuu dawa yeyote mgonjwa wa Kiafrika ,Daktari wa kiaafrika akimwambia unakosea, utasikia yule mwafrika mwenye uongozi aliyesomeshwa na mzungu kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu na anatembelea gari la mzungu anamwambia huna kazi na matusi juu eti kisa kamwelekeza daktari wa kizungu, huu ni ujinga kabisa nashangaa sana mtu anakosa uzalendo eti kisa kasomweshwa na Mzungu ,binafsi nikiwaona wanavyosema wanatupa misaada moja, mbili ,tatu nasita sana na sana ,Kwa ujumla ukoloni maomboleo ni zao la uongozi mbaya ambao huwa na matabaka wenye lengo la kuwafaa wachache ili hali wengi wanaumia haswa wale wasionacho

Namkumbuka sana Mwenda zake kwani alikuwa mzalendo Sanaa waliomtangulia walisaini mikataba ya hovyo hovyo lakini hakufuata hiyo misingi eti kisa aliyemtangulia alinunuliwa nguo na mzungu,kasomeshwa na mzungu,analishwa na mzungu na anatembelea gari mzungu akapambana na mabepari ila wao wakamwita mshamba, kisa hataki kuwa mwanafamilia wa kizungu kwa kukataa tabia zao za hovyo eti mwanaume uolewe inauma sana kwenye rasilimali kama madini eti nchi inapata faida asilimia tano katika miamoja alafu wao wanachukua asilimia 95% akasimama bila kujali waliomtangulia walilishwa na mzungu na kusimamia uzalendo na kuondoa maumivu kwaafrika wenzake,

Chondechonde kama unataka kuwa kiongozi usitumikishwe na ukoloni mamboleo simama uwe mzalendo naamini tutakukumbuka si kwa mabaya bali kwa mazuri mchana na usiku dua zetu kwako,maisha ni mafupi ilikuwa jana tu nilikuwa mchanga leo nimekuwa mzee kesho naondoka ni kheri nisimamie haki leo kesho nitapewa mshahara wangu na allah kule kwenye hazina yangu ya milele

Hitimisho

Naishauri kwanza Kwa viongozi msipende sana vya hao wazungu eti kisa mzungu kakusomesha,anakunulia nguo, amekupa dawa isisababishe uisaliti nchi yako tujifunze kuwa wazalendo kwa sababu wataalamu wapo lakini hawautumii ujuzi wao eti mpaka mzungu afanye inaumaa sana mtoto wa mlala hoi atafanyaje Zaidi ya kukaa kimya

Serikali inabidi itafute wataalamu wazuri wakufanyia ukaguzi wa mifumo yate ya kidijitali kama jinsi wanavyofanya kwenye taasisi zingine mfano ukaguzi wa matumizi ya fedha

Serikali ihakikishe mifumo yote iunganishwe kwenye data center ya taifa na kuhakikisha hakuna anayeweza kuingilia mifumo yote na kuwekeza kwenye technolojia zinazokuja zenye usalama Zaidi kama blockchain
Hapa penyewe mkoloni anakutawala unatumia domain zake unatumia simu zake unavaa nguo zake unapanda gari zake huna ujanja blaza.....
 
We ulisoma zamani ni muathirika wa mawazo ya kikomunist.
Enzi za vita baridi mlipandikiziwa chuki ya kuwachukia wazungu kwa maslai ya Mrusi
Haya mawazo hayana tija kwa kizazi cha sasa chenye fikra huru.
Huo ukoloni mambo leo upo afrika pekee? Msihalalishe uvivu wa kushindwa kwetu kwa kuwatupia lawama wengine.
Huko China, Uarabuni, India, vietnam, Malasyia,nk nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi leo zinatupa misaada na zilitawaliwa pia kama sisi wao mbona Wana maendeleo?Ikiwa tuna raslimali tele zimejaa na tumeshindwa kuzitumia hapa kosa ni la nani?

Mawazo ya kikomunist kwa ulimwengu wa Sasa ni upumbavu.
Asante sana je nisahihi leo wao kuangalia data zetu??? wakati tuna data center ya Taifa ambayo itazuia suala hili jamani vitu hivi vipo na hatutakiwi kuvikubali na kuchukulia kama hali ya mazoea eti kisa kuna mikataba mibovu iliyosainiwa tuiache na kusema sisi ni wavivu au wazungu wametuletea vifaa vya kidijitali basi watutawale
Ngoja nikwambie madhara ya kusema sisi ni familia moja na wao eti kisa wametupa msaada
  1. Suala la madini kwa sababu wao wamekuja na vifaa vyao kutoka kwao leo hii tuwaachie wachukue asilimia 95% sisi tubaki na asilimia tano
  2. Suala la kuingilia data zetu kwaajili ya biashara zao mfano kuaangalia data za hospitali wanatumia kufanyia research zao bure nchi inasema hatutoi takwimu fulani ila akina fulani wanazijua au kusomeshwa na mzungu,kulishwa na mzungu ,kupewa usafiri na mzungu ndo uuze nchi yetu















n
 
Asante sana je nisahihi leo wao kuangalia data zetu??? wakati tuna data center ya Taifa ambayo itazuia suala hili
Kuna taarifa kwa ajili ya record ya Dunia na nchi zote duniani upeleka taarifa kwenye data center.
Pili kutotoa taarifa ni ubabe wa kijinga sisi ni sehemu ya dunia.
 
Kuna taarifa kwa ajili ya record ya Dunia na nchi zote duniani upeleka taarifa kwenye data center.
Pili kutotoa taarifa ni ubabe wa kijinga sisi ni sehemu ya dunia.
Asante sana kwa mfano wewe ummeajiriwa na serikali lakini kunamtu kuto nje ndo anafanya hiyo kazi remote unajiskiaje wewe unafanya kazi ya kuunganisha tuu

Au mfano JamiiForum confidential information zakwako wewe kunamtu mwingine anazipata? Issue nzito kama ya Escrow unaiweka public halafu kuna third part ya husika wanapata confidential information zako hapo kuna uhuru
 
Hapa penyewe mkoloni anakutawala unatumia domain zake unatumia simu zake unavaa nguo zake unapanda gari zake huna ujanja blaza.....
Nini maana ya kuwa mzalendo kwenye nchi yako? tumuachie madini yetu kwasababu wamekuja na vifaa vyao kuchimba madini,
 
Asante sana kwa mfano wewe ummeajiriwa na serikali lakini kunamtu kuto nje ndo anafanya hiyo kazi remote unajiskiaje wewe unafanya kazi ya kuunganisha tuu

Au mfano JamiiForum confidential information zakwako wewe kunamtu mwingine anazipata? Issue nzito kama ya Escrow unaiweka public halafu kuna third part ya husika wanapata confidential information zako hapo kuna uhuru
Huwezi ficha Siri kwenye computer Dunia ya sasa.
Ulimwengu umerahisishwa urasimu wa nini
 
Huwezi ficha Siri kwenye computer Dunia ya sasa.
Ulimwengu umerahisishwa urasimu wa nini
Inawekena kuficha kunatechnolojia kama ya blockchain haiwezeka kuaccess data za mtu
Daaaaah inaniuma sana ili ujue umuhiimu wa data nenda maeneo kama ya hosipitali,Ikulu ,benki hizi na maeneo mbalimbali utakuta wanasever zao wenyewe kwasababu zile data ni confidential kama unaona ni sawa kunamaana gani ya watu kusoma cybersecurity????????
 
Mkoloni ndio amekwambia hayo ni madini.....
asingekwambia ungeendelea kuchezea bao
haaaaaahaaaaaa kwahiyo unakubali sisi ni dunia ya tatu na ni kipi unajivunia kuwa Mwafrica na kipi wewe kama mwafika unaweza kufanya??

Kunachanjo za Corona Zinazalishwa Sauth Africa hautatumie eti kisa zimezalishwa na Mwafrika kwa kuamini waafrika hatuwezi?
Hata huko Madagasca Je Afrika hatuwezi? tukae tuu tukisema vyote ni vyao daaah kwanini tusiwe wazalendo na nchi yetu,kwanini tutawaliwe kifikra eti kisa mzungu kakufundisha kingereza....jivunie kiswahili
 
Umeleta bandiko kwa hisani ya Simu ya mzungu hata baruapepe umefungua ya mzungu
 
Kwasabu mzungu anakuvalsha,anakulisha anakupa gari la kutembelea anakusomeshe ndo utumiwe kuwatesa waafrika wenzako
 
Nini maana ya kuwa mzalendo kwenye nchi yako? tumuachie madini yetu kwasababu wamekuja na vifaa vyao kuchimba madini,
Mkoloni ndio amekwambia hayo ni madini.....
asingekwambia ungeendelea kuchezea
haaaaaahaaaaaa kwahiyo unakubali sisi ni dunia ya tatu na ni kipi unajivunia kuwa Mwafrica na kipi wewe kama mwafika unaweza kufanya??

Kunachanjo za Corona Zinazalishwa Sauth Africa hautatumie eti kisa zimezalishwa na Mwafrika kwa kuamini waafrika hatuwezi?
Hata huko Madagasca Je Afrika hatuwezi? tukae tuu tukisema vyote ni vyao daaah kwanini tusiwe wazalendo na nchi yetu,kwanini tutawaliwe kifikra eti kisa mzungu kakufundisha kingereza....jivunie kiswahili
Hizo ni myths to brother......mzungu katutangulia kweli.....hapa kwenyewe tunachati kwa kitu cha mzungu au vp?!
 
Basi usitumie simu ya mzungu leta bandiko kutokea chattle kwa kutumia kioo au upepo
Asante sana sijamaanisha uache kutumia simu nahitaji tuweze kutumia wataalamu wetu wa ndani kufanya mambo yetu na pale tunapotumiwa tusitumike tuwe wazalendo
 
Back
Top Bottom