Recent content by Mwegole

  1. Mwegole

    Msaada: Utaratibu wa kupokea bidhaa kutoka nje ya nchi

    Ahaaa kwahy unamaanisha kwamba naenda kuingiza kadi labda kama Nina dollars 100 naangalia kwa thamani ya hela ya Tanzania Ni shi ngapi alafu ndo ninayotoa
  2. Mwegole

    Msaada: Utaratibu wa kupokea bidhaa kutoka nje ya nchi

    Kadi yangu Ni USD, hitaji langu natak kutoa dollars humo kweny card na nifanye exchange kwa fedha ya Tanzania
  3. Mwegole

    Msaada: Utaratibu wa kupokea bidhaa kutoka nje ya nchi

    samahani ivi inawezekan kutoa dollars ATM kwa card ya visa huku bongo na Kama hamna unawezaje kutoa dollars kweny card labda Kama Kuna utaratib mwingine,
  4. Mwegole

    Msaada: Utaratibu wa kupokea bidhaa kutoka nje ya nchi

    Ni kwamba Kuna mtu nataka nimwagize anitumie mzigo kutoka Senegal kupitia DHL,Ni mara yangu ya Kwanza kuagiza mzigo nje je nifanyeje ili mzigo nikauchukue huko DHL kwa urahisi.naomba niwasilishe
  5. Mwegole

    Msaada: Utaratibu wa kupokea bidhaa kutoka nje ya nchi

    Samahani naomba ufafanuzi kuhusu kupokea bidhaa kutoka nje ya nchi,hatua za kufuata Ni zipi
Back
Top Bottom