Ndio maana wanakua wakali kama mbogo alie jeruhiwa, hawaamini kinacho tokea, wengine walitumia mpaka milion 300 wakat wa uchaguzi wakitegemea kupata uwazir, lakini pia wale wafadhili wao wanao fanya biashara ya ngada hali ni tete.
Huwez kua msemaji wa clouds, ni mpaka wao wenyewe wathibitshe kua wamevamiwa, mkuu wa mkoa ni Mwenyekiti wa kamat ya ulinz na usalama anayo mamlaka ya kutembea na askari wenye silaha na kuingia nao popote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.