Recent content by mwechaga

  1. M

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Nasubir nisikie vile vituo vya haki za binadam zitasemaje (Anna bisimba )
  2. M

    Hali mbaya ya kiuchumi ya wabunge yawatia hasira

    Utakuta halmashauri moja inamajimbo 3, wabunge wa vit maalum sasa wote hao wanini, ni bora hata kila mkoa kuwe na wabunge ha wa 3 tu
  3. M

    Hali mbaya ya kiuchumi ya wabunge yawatia hasira

    Ndio maana wanakua wakali kama mbogo alie jeruhiwa, hawaamini kinacho tokea, wengine walitumia mpaka milion 300 wakat wa uchaguzi wakitegemea kupata uwazir, lakini pia wale wafadhili wao wanao fanya biashara ya ngada hali ni tete.
  4. M

    Nape, Jeshi la polisi na JWTZ mna la kuongea kuhusu tukio la uvamizi Clouds Media Group

    Huwez kua msemaji wa clouds, ni mpaka wao wenyewe wathibitshe kua wamevamiwa, mkuu wa mkoa ni Mwenyekiti wa kamat ya ulinz na usalama anayo mamlaka ya kutembea na askari wenye silaha na kuingia nao popote
  5. M

    Magufuli atumia lugha ya Kiswahili kwenye hotuba ya kumkaribisha PM wa India

    Yule Rais wa Vietnam alipo kujaga aliongea ruga gani? Mbona hamsemi
  6. M

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    William Lukuvi wazir mkuu, Januari makamba wazir wa mambo ya nje, Mwigulu nchemba Waziri wa fedha
  7. M

    Waandaaji wahisheni mdahalo wa wagombea urais

    lowasa hataweza kusimama zaidi ya nusu saa lazima aaanguke ndio maana anakwepa mdahalo
  8. M

    Mbowe asalimu amri kwa Slaa

    huo ndio ukweli
  9. M

    Mdahalo kwa wagombea Uraisi....

    kweli Chadema mmeshikiwa chini, mnajua kua mgombea wenu hawez kusimama muda mrefu na wala hawez kuongea ndio maana
  10. M

    James Mbatia: UKAWA ipo imara, haitasambaratika, akerwa na kauli za Magufuli, CCM

    katka wanasiasa walio ishiwa hoja nchi hii mbatia ni mmoja wao, tena amshukru Kikwete kumpa ubunge vinginevyo angesha potea
Back
Top Bottom