Kabisa kaka, hapa unatakiwa uwe angalau na milioni 250 ndio utaelewa biashara, na uwe unaagiza bidhaa mwenyewe kutoka nje, China india turkey nk, hapo utaona faida sana
Angalau nimekuelewa, kimsingi biashara nyingi za maeneo ya mjini huwa zinamikataba ya mda mrefu kati ya mmiliki na mfanyabiashara, hivyo mwenye eneo kwa sasa anataka 120M ili akupishe uishi kwa miaka nane ndio uje ulipe kodi, na hapa ni kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi
Usikate tamaa, kama haijatokea leo, basi kuna siku utapata, kila jambo na wakati wake endelea kumtumainia Mungu wakati wote. Ipo siku na wewe utapata....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.