Daaa tuombe amani kwa kweli, maana juzi nimeona vijana wa UKAWA wamebeba mapanga na wengine wapo kikomandoo, tunaelekea wapi. Hii nchi yetu sote tushiriki kulinda amani
Hilo la kujitoa siyo tatizo, ila wengine wapo katika chama lakini hatuoni ushiriki wao katika kampeni za mgombea urais, hata sijui hili linamaanisha nini
Haya yote tunayoyaona yanatokea CDM ni kutokana na ukweli kwamba, viongozi wa juu wa CDM hawakuzishirikisha jumuiya zinazounda chama hicho na ndio maana tunaona sio tu hizi tetesi za kuhama viongozi wakubwa wa jumuiya hizo, bali pia ushiriki wa baadhi ya jumuiya za CDM katika kumuunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.