Recent content by Mwangaza

  1. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Bilionea fisadi wa Tegeta Escrow, Rugemalila awa mfadhili mkuu wa CHADEMA

    CHADEMA inatoa roho..hamuiwezi. Unalikua sakata la escrow wewe? Rugemalila hakuwa fisadi ktk sakat hilo ..aliuza hisa zake kwa halali akalipa kodi ya serikali, na ndiye aliyelitoa nje..bila yeyey we kapulwa ungelijulia wapi?? Hongeleni Bukoba Development Fund..kazeni buti,kelele za Lumumba na...
  2. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania ACT wagoma kusaini matokeo Arusha

    Katika hali ya kushangaza, mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha ACT Megro Mollel amegoma kusaini matokeo ya uchaguzi japo amepata kura 342 tu kati ya kura halali 104,353 kwa kila alichodai kwanini Lema kashinda bila kutaja sababu ya malalamiko yake. Katika uchaguzi huo...
  3. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Bravo Lowassa.umejibu vizuri sana
  4. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

    Wanabodi, Inashangaza mtu anayejiita muadilifu kuendelea kungangania wizara wakati zaid ya miezi mitatu sasa hajagusa wizarani..huku akiendelea kula mishahara na malupulupu yote wa waziri?? Huu ni wizi wa wazi wazi wa kodi zetu . Huu ni UKURUNZINZA. Hata kama JK hajavunja baraza la...
  5. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Kashfa za wagombea zimetosha, sasa tujadili sifa walizonazo

    hujafika monduli wewe ,kaa kimya.no research no right to speak
  6. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Kashfa za wagombea zimetosha, sasa tujadili sifa walizonazo

    Kwa vigezo hivyo Lowassa ana 90%
  7. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Kinana ainyamazisha Mbeya, waahidi ushindi kwa CCM

    Hahahahaa...bwana Mwigulu aka Tandaleone..unafurahisha kweli..!!! eti "ainyamanzisha mbeya" hahhaa "Pourojo" ukioa "Po" inabaki "urojo" hahah
  8. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa akimbilia tena Marekani, awatakia Watanzania uchaguzi salama

    Naona unaongea kinyume nyume.. Ukweli ni kwamba.. " Slaa aliposoma alama za nyakati na kuona atazidi kudhalilika kuwatumikia vibaraka wa ccm , act (kama ilivyopengwa na kina Mwigulu) akagoma kumpanda jukwaa lao, ACT imekata tamaa!!!!!!!! There's no option ACT has to dead away!!!!!!!!!
  9. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Lowassa na Magufuli yapi ni sahihi?

    Wanabodi, Wagombea wawili wa urais wamekuwa wakiahidi mabadiliko. Tunagalie kwa kina dhana halisi ya mabadiliko kwa hawa watu. Lowassa ameahidi mabadiliko kwa kufanya yafuatayo:- 1.Kurudisha katiba ya warioba 2.Kutoa elimu bure mpaka chuo kikuu 3.Bima ya afya 4.Hospitali kila wilaya 5.Posho...
  10. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Ahadi za Rais Joseph Pombe Magufuli awamu ya tano, 2015 hadi 2020

    FACTS: AHADI ZA LOWASSA ZINATEKELEZEKA, ZA MAGUFULI HAZITELEZEKI: AHADI 5 ZA LOWASSA: Mpaka sasa ameshota takribani ahadi 15 tuongelee 5 kubwa 1. ELIMU BURE HADI CHUO KIKUU (Sh. trilioni 9.9) 2. BIMA YA AFYA, HOSPITALI KILA WILAYA (Sh. trilioni 5.84) 3. POSHO WENYEVITI VIJIJI, MITAA (Sh...
  11. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Ni puuzi kujadili ubinafsishaji bila kumjadili Mkapa. Kamishna tu, tena wa katume tu !! Anawezaje kuwa na nguvu kuliko waziri?? kuliko Rais ?? Juma Mwapachu IS CLEAN MAN, A VERY CLEAN MAN. Vijana wa Lumamba hizi propaganda mnaendesha zitawaghalimu sana. Hongera Juma Mwapachu kwa UAMUZI...
  12. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CCM mna upofu wa kufikiri

    Umoja wa Vilaza wa ccm (UVCCM) !!
  13. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

    Wapi mama Andy Magufuli ?? Wapi Mama Jerry Magufuli ?? ...hawa wanawake wake wapo wapiiii ??
  14. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania Katuni bora ya mwaka

    Div 5 ktk ubora wako
  15. Mwangaza

    JamiiForums Tanzania GE2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

    hahahaa Kupata kituko hicho tuma neno HAPAGIZATU kwenda 15666
Back
Top Bottom