Recent content by Mwangajamii Tanzania

  1. Mwangajamii Tanzania

    Haya ndio maelezo ya mifumo ya submita

    1. Submeter ni nini? Submeter ni kifaa kinachotumika kugawa au kupima matumizi ya umeme kwa mtu mmoja mmoja ndani ya jengo au eneo moja. Mfano: kwenye nyumba za kupanga, kila mpangaji anapata bili yake kulingana na kiasi alichotumia. --- 2. Submeter inafanyaje kazi? Submeter hupokea umeme...
  2. Mwangajamii Tanzania

    Siasa za Uonevu

    Polisi wanatumika na wanasiasa na viongozi wengine wanalipiza visasi
  3. Mwangajamii Tanzania

    Acha kuteseka na umeme kwenye nyumba za kupanga

    Submita kata umeme inakuwezesha Kutumia umeme wako mwenyewe, Acha kuokota fundi mtaani. Ukihitaji Submita nitakuuzia na kukufungia. Pia nitakupa Elimu namna yakuitumia Submita hiyo. Wengi wamekuwa wakipata changamoto namna ya kuitumia na wakati mwingine kutaka hata kuzifungua...
  4. Mwangajamii Tanzania

    Submita kata umeme

    Ni vyema kuelewa kabla ya kuliko. Unapoweka ujue unachokifanya
  5. Mwangajamii Tanzania

    Submita kata umeme

    Kuwa mjanja na submita kata. Ondoa changamoto. Jifunze namna ya kuzitumia Mita janja. Submita hizi ni nzuri sana na utainjoy sana. Endapo ukijua kuzitumia. Kumbuka submita hizi haifungwa kwa chumba kimoja Bali inafungwa kwa kila chumba au kwa kugawa makundi ya vyumba.... ukihitaji...
  6. Mwangajamii Tanzania

    Siasa za Uonevu

    Tanzania 🇹🇿 Ni sehemu ya kisiwa cha Amani. Lakini Amani Yetu Inaweza kuondolewa na Tawala inataka kutawala kimabavu, kwa kuziba Watu midomo. Polisi ni wachache kwa Raia na Ikumbukwe kuwa hao polisi Wanaotumika na watawala kuwanyanyasa Raia wanaishi Kwenye Jamii, Binafsi sitokubali Ndugu...
  7. Mwangajamii Tanzania

    Submita kata Umeme

    110,000 bila ufundi. 130,000
  8. Mwangajamii Tanzania

    Submita kata Umeme

    Kama haupo Dar es salaam, mzigo wako unqkufikia popote Ulipo.... kuhusu bei. 110,000 kwa Submita moja. Ila zinaanzia mbili. Kama upo dar nakuletea unalipia 130,000 pamoja na Ufundi.
  9. Mwangajamii Tanzania

    Submita kata Umeme

    Napatikana Kariakoo. Mtaa wa lindi na congo. Kama upo Dar es salaam nakuletea na kukufungia. Karibu nikuhudumie.
  10. Mwangajamii Tanzania

    Submita kata Umeme

    Tumia unit zako mwenyewe bila kushea na wengine. Je unaishi kwenye nyumba ya kupanga na kuna changamoto ya matumizi Umeme? Au wewe ni mmiliki wa Nyumba za kupangisha na kila siku watu wanagombana kwa sababu ya Umeme? Basi suluhisho limepatikana. Fungia kila mpqngaji Submita ya kisasa...
  11. Mwangajamii Tanzania

    Tupate elimu kidogo kuhusu submita kata umeme

    Niambie Je ulitakq kufahamu nini kuhusu submitanikupe majibu Boss wangu
  12. Mwangajamii Tanzania

    Tupate elimu kidogo kuhusu submita kata umeme

    Kazi ya submita kutumia unit zako zote ulizonunuq bila kushea na mtu mwingine
  13. Mwangajamii Tanzania

    Tupate elimu kidogo kuhusu submita kata umeme

    Submita kata Umeme. Habari, leo naomba nitoe elimu kidogo kuhusu submita kata umeme. Kama nyumba yako ndio kwa mara ya kwanza unataka kufunga submita, kata umeme. Ni lazima uanze kufunga submita mbili. Ukifunga submita moja haina msaada....... Kwa uhitaji wa submita za kisasa karibu Bei ya...
Back
Top Bottom