Kaka muache huyo mwanamke Haraka sana ikibidi anza maisha yako mapya pambana huko lindi kimya kimya siku unarud Arusha Beba Watoto wako wala usimuulize kitu.
Amekua akininyima unyumba kwa muda sana kila nikihitaji amekua akitoa sababu mara naumwa kichwa mara miguu alaf siku zingine nikifanikiwa kusex nae hua ananipa kama kunisusia wala hajishughulishi si kwa sauti wala vitendo.
Nimeishi nae takriban miaka 5. Watoto wangu ni wadogo sana Mkubwa na...
Ni kwel mkuu hata mimi najuta nilioa mwanamke mzuri yamenikuta sasahivi nimempiga chini ubaya zaidi nilizaa nae watoto wawili wa kiume nimeamua kuwachukua ili wasije haribika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.