Recent content by Mwanasiasa mtata

  1. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Na Nani kakuambia kukamate mateka vitani ni ugaidi? Mateka wanakamata kwa madhumuni mengi sana. Na la kupiga mabomu kwenye makazi ya watu kwa madhumini ya kuuwa watoto, wanawake na vikongwe mbuna haulizungumzii?
  2. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Kasome vizuri comment niliyo equate
  3. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
  4. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Inaruhusiwa kuteka kwa nia na madhumuni mazuri
  5. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Wanajuta kwanini walimuoji public 🤣🤣🤣. Sisi Hamas tunaendelea kupiga kimya. Mtajuana huko wenyewe
  6. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Aibu yao
  7. Mwanasiasa mtata

    Mateka aisifu Hamas

    Safi sana kuwaonyesha kwa vitendo, sio kukaririshwa na marekani kuwa uislamu ni dini ya magaidi
  8. Mwanasiasa mtata

    Kambi za Jeshi la Marekani zinashambuliwa Syria

    Hao wajuba ni wabishi balaa hawana tofauti na Taliban. Kama marekani alichemsha kwa watelebani basi na hapo atachemsha tu. Kana yupo hapo kibabe basi hana jinsi zaidi ya kuondoka tu.
  9. Mwanasiasa mtata

    Sakata la Israel na Palestina anaetafutwa na Marekani ni Saudi Arabia. Gaza wanazuga tu

    Ndiovyo unavyojidanganya, sasahivi saudia anachukua vitu vya uhakika kutoka Urusi🤣🤣
  10. Mwanasiasa mtata

    Sakata la Israel na Palestina anaetafutwa na Marekani ni Saudi Arabia. Gaza wanazuga tu

    Wapi imeeleza marekani inaisaidia bajeti ya kijeshi ya saudia kwa 80%? Hiyo misaada ya kijeshi ni marekani t kijishebedua na kujipendekeza tu. Saudia ina uwezo wa kununua silaha zozote na popote pale inapohitaji. Alikuwa anampa michumamichuma yenye gharama kubwa usanisi sawa na sifuri.
  11. Mwanasiasa mtata

    Sakata la Israel na Palestina anaetafutwa na Marekani ni Saudi Arabia. Gaza wanazuga tu

    Kila mtu anamuona mwenzake hana akili🤣🤣 Wewe upo kwenye kukariri tu lakini alichokieleza hapo bi mkuwa kina make sense. Saudia ndio ilikuwa kete kubwa sana ya marekani kufanya nchi za kiarabu zisiwe na uwelewano. Kama huo uwadui wa iran na saudia marekani ndio alioutengeneza ili apige pesa ya...
  12. Mwanasiasa mtata

    Sakata la Israel na Palestina anaetafutwa na Marekani ni Saudi Arabia. Gaza wanazuga tu

    Wewe ndio pumba kabisa. Saudia alikubali kuwa kibaraka wa marekani. Na ukishakuwa kibaraka wa marekani hauwezi hata kidogo kuwa upande wa palestina. Hamas sio wajinga, saudia ilitumika tu kuchelewesha juhudi za palestina kuwa taifa huru TUONDOLEE UPUMBAVU, ISRAEL HAUKUWAHI NA MPAKA LEO HII...
  13. Mwanasiasa mtata

    Maandamano kwenye bunge la Marekani kupinga mauaji Palestine

    Haijazuiliwa kuandamana kupinga mauwaji ya waisrael, unaweza ukaandamana
Back
Top Bottom