ameutaja mkoa wa kigoma ambako ndo kwao inamanisha hata yeye ameshindwa fanya chochote,sasa hv anajidai mzalendo zitto umedandia tren kwa mbele ni heri ungefungua kampuni kuliko hicho chama chako hata mbunge hakitapata.
zitto alikosea kama binadamu mwingine alichokosea ni kutokuyakubali makosa na kujilekebisha,ICT hakiwezi kuwa chama cha kizalendo ila vijana wanamihemuko kwa wasiyoyajua kiundani.mutaangamia kwa kukosa marifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.