Recent content by mwananchit

  1. M

    Jaji kufanya uchambuzi wa kurasa 1,500 ukaweza kutoa hukumu kwa siku mbili ni jambo lisilowezekana

    Dada Beatrice, unataka ajipange vipi? Hata jana kama kungekuwa na ulazima au uharaka wa kutoa maamuzi, angeweza kufanya hivyo. Hizi siku mbili sana sana zitamsaidia kujipanga jinsi ya kuwasilisha hukumu ambayo hata wenye akili kiduchu wameshagundua kwamba mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na...
  2. M

    DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

    Ni bora hii kesi iishe ili "magaidi" wetu wawe huru wakakae na familia zao ila sijui hii kesi ikiisha tutapata wapi tena burudani nyingine maana hii kesi ilikuwa ni burudani tosha! Nilitamani sheria ziboreshwe kidogo ili kuruhusu Boaz, Kingai, Swila na "msiri" wao Urio wote kwa mpigo wapigishwe...
  3. M

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

    Kuna maswali yanadsi majibu: - 1. Kwanini akina Bwire, Adamoo na Ling'wenya ni washitakiwa badala ya kuwa mashahidi upande wa jamuhuri? Au soon watabadilishiwa status? 2. Kwanini Denis Urio hayuko pamoja na akina Adamoo kama mshitakiwa (tena namba moja) wakati yeye ndiye aliyechonga mpango...
  4. M

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

    HII KESI INASHABIHIANA SANA NA KESI NYINGINE YA MCHONGO ILIYOMO KWENYE BIBLIA..... 1 Wafalme 21: 4 Basi Ahabu akaenda nyumbani kwake, ana moyo mzito, tena amekasirika, kwa sababu ya neno lile aliloambiwa na Nabothi Myezreeli, akisema, Sitakupa urithi wa baba zangu. Akajilaza kitandani pake...
  5. M

    Rais Samia anadanganywa sana. Anapanga safu ya mstaafu bila kujua

    Kwanini mnalazimisha kutuaminisha kwamba SSH hana macho, masikio, akili au busara? Kwamba haoni na wala hajui anachokifanya? Kwahiyo anafanyiwa kila kitu? Amekuwa gogo au mfu? Kwahiyo ndani ya chama mtu anaweza kufikia hatua ya kuwa mwanachama, mbunge, waziri na akapanda hadi kufikia ngazi ya...
  6. M

    Hongera Nape Nnauye kwa kurudi kwenye nafasi ya Uwaziri

    Hahahahaaa!!! Atakumbuka basi? Wakishakalia zile ofisi unashindwa kuelewa wanakula maharage ya wapi. Mkapa alijuta kwamba kwa miaka 10 akiwa enzini, alisahau kabisa masuala ya kilimo (ambacho kimeajiri zaidi ya 75% ya watz)!
  7. M

    Maoni: Safu ya Baraza la Mawaziri haiakisi maendeleo, inaakisi nchi kumilikiwa na familia fulani zinazoamini bila wao hakuna Tanzania

    Sasa ni kwa nini walimtesa JK kwa miaka 5 mfululizo? Walisahau mambo ya Karma?
  8. M

    Mgeja amlipua Job Ndugai, aitaka Serikali ing'oe jina lake kwenye majengo ya umma

    Soko Kiu la Ndugai liitwe Soko Kuu la Dodoma Magufuli City irudishiwe jina lake la awali la Government City
  9. M

    Tukiacha ushabiki wa kivyama na Unafiki, Hoja ya Spika haijajibiwa

    Kwani Job aliita press conference kwa ajili ya kuomba msamaha, au kuilaumu mitandao?
  10. M

    Naogopa sana Ndugai akizungumza ukweli

    Atafungukia wapi wakati bungee lake lilitunga sheria mbovu ya kuvibana vyombo vya habari?
Back
Top Bottom