Recent content by Mwananchi Huru

  1. Mwananchi Huru

    Saed Kubenea: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow?

    Natamani mawaziri pia wangeiga hii kitu
  2. Mwananchi Huru

    Kafulila: Kwa miaka mitatu Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL

    Deni la Taifa ni jumla ya Deni la Serikali na Deni la Sekta binafsi. Pia Deni la Taifa lipo la ndani na la nje. Mfano ongezeko la dola 5bn ilikuwa la nje. Kutoka usd24bn mpaka usd29bn.. la ndani liliongezeka nadhan kutoka TSH 15+trn mpaka TSH30+trn. deni la ndan maanake lipo ktk TSH.. Nadhani...
  3. Mwananchi Huru

    Kafulila: Kwa miaka mitatu Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL

    Sasa mbona unakuja na story za 2022 na Leo ni 2024, Huwezi kubishana na Kafulila wewe
  4. Mwananchi Huru

    Kafulila: Kwa miaka mitatu Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL

    Nadhani wewe unania mbaya ndio maana unasema kunalugha ya tofauti hapo
Back
Top Bottom