Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa wananchi wa Iguguno na Wilaya ya Mkalama kwa ujumla kudumisha umoja, upendo na mshikamano.
Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka saba (7) anayefahamika kwa jina la Magreth Dickson mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Kalangalala, amekutwa amefariki dunia ikiwa ni siku sita zimepita tangu aripotiwe kupotea nyumbani alikokuwa akiishi na bibi yake katika eneo la Katoma...
Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, leo Oktoba 6, 2025, itasikiliza shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kupinga Luhaga Mpina kuondolewa kugombea Urais wa Tanzania. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya majaji watatu kuanzia...
Humphrey Polepole akizungumza na wananchi kupitia mitandao ya kijamii ameweka wazi kuwa waandishi waandamani wengi wamepewa mlungula na Serikali ili wasiongee mambo ya msingi, akitolea mfano kwenye hafla ya tuzo za ''Samia Kalamu'' kuwa Serikali ilitoa mlungula hadharani kinyume na matumizi ya...
Akiongea na wananchi kupitia mitandao ya kijamii, Humphrey Polepole amesema vyombo vikubwa vya habari vimetishwa na kupigwa marufuku kuzungumza mambo ya msingi kwenye kampeni na uchaguzi.
Amesema vyombo vyote vinavyopigwa onyo na TCRA vimekuwa vikimpa taarifa. Ameongeza kuwa TCRA inatakiwa...
Nimeona video inayomuonesha mkufunzi mmoja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akizungumza mwaka 2024, ambapo anasikika akikipongeza chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kile alichokiita “kazi nzuri,” na hata kumpongeza kiongozi wa chama hicho.
Kauli kama hii mara chache...
Ameandika Hilda Newton kupitia mtandao wa X
TAARIFA KWA UMMA
Kuna Maombi Madogo ya kesi ambayo Said Issa Mohamed na Wenzake wamefungua kwa hati ya dharula dhidi ya
1. Mhe. John Heche
2. Mhe. John Mnyika
3. Hilda Newton
4. Twaha Mwaipaya
5. Board ya Wadhamini ya Chadema.
Maombi hayo...
amri
chadema
chadema kukamatwa
chama
heche
john heche
john mnyika
kufanya
kufanya siasa
mahakamani
mnyika
saba
said issa mohammed
siasa
uchaguzi mkuu 2025
vigogo
viongozi chadema
Wananchi wa kabila la Wahadzabe, jamii ya asili yenye historia ya kipekee, wameonekana katika viwanja vya Madani wilayani Karatu mkoa wa Arusha wakiwa wamevalia sare za CCM na kuimba nyimbo za asili.
Hivi hawa, serikali ya CCM haijauza ardhi yao kweli kwa waarabu?
--
Sema CCM wakorogaji...
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuunda serikali, ataweka kipaumbele katika ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR kwenye ukanda wa kaskazini kuanzia Tanga, Arusha hadi Musoma.
Akihutubia...
Nape Nnauye, amesema wanaompinga Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanapaswa kuja na takwimu na si maneno matupu.
Nape amesema tangu alipoingia madarakani mwaka 2021, Dkt. Samia ameweka rekodi ya kipekee ya uadilifu katika kusimamia rasilimali za taifa na...
Ufafanuzi kuhusu risiti ya kielektroniki (EFD) ya ABC CERAMICS TANZANIA inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa kuondolewa kwenye mfumo wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (EFDMS).
Pia soma > Alichokiandika Mange Kimambi kuhusu risiti za malipo za Bilioni 2.4 zinazodaiwa kuwa za Abdul mtoto...
Uchaguzi wa mwaka huu umeibua mambo ya kushangaza. Licha ya kutokuwepo kwa uwanja sawa wa ushindani wa kisiasa kati ya CCM na vyama vya upinzani, kumetokea hali ya baadhi ya wagombea waliopitishwa na vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge wakiwemo wale waliokuwa na ushawishi mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.