Kuna makosa ambayo mwanafunzi akiyafanya shuleni, adhabu yake haishughulikiwi na mwalimu mmoja tu. Unakuta umeitwa mbele ya walimu kadhaa, kila mmoja anauliza alichofanya, na mwisho unaondoka na adhabu ambayo huwezi kuisahau.
Nakumbuka mimi na wenzangu kadhaa tulihisiwa kuwa na mahusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.