Recent content by mwanamwana

  1. mwanamwana

    Kenani Kihongosi: Jirani zetu Congo, Rwanda na Burundi hawana amani sababu walichochewa, tusiruhusu wenye agenda ovu kutuvuruga

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa wananchi wa Iguguno na Wilaya ya Mkalama kwa ujumla kudumisha umoja, upendo na mshikamano.
  2. mwanamwana

    Geita: Mtoto wa miaka 7 akutwa amefariki dunia siku sita baada ya kuripotiwa kupotea

    Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka saba (7) anayefahamika kwa jina la Magreth Dickson mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Kalangalala, amekutwa amefariki dunia ikiwa ni siku sita zimepita tangu aripotiwe kupotea nyumbani alikokuwa akiishi na bibi yake katika eneo la Katoma...
  3. mwanamwana

    GE2025 Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

    Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, leo Oktoba 6, 2025, itasikiliza shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kupinga Luhaga Mpina kuondolewa kugombea Urais wa Tanzania. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya majaji watatu kuanzia...
  4. mwanamwana

    PICHA: Chumba ambapo Polepole alikuwa akirekodia, akionekana na Ile Black Screen nyuma

    This time hawajamuwekea kilainishi mezani na kupiga picha kumchafua
  5. mwanamwana

    GE2025 Humphrey Polepole: Waandishi waandamizi walipewa mlungula na Serikali siku ya tuzo za 'Samia Kalamu', na umeanza kufanya kazi kwenye uchaguzi

    Humphrey Polepole akizungumza na wananchi kupitia mitandao ya kijamii ameweka wazi kuwa waandishi waandamani wengi wamepewa mlungula na Serikali ili wasiongee mambo ya msingi, akitolea mfano kwenye hafla ya tuzo za ''Samia Kalamu'' kuwa Serikali ilitoa mlungula hadharani kinyume na matumizi ya...
  6. mwanamwana

    GE2025 Polepole: Vyombo vikubwa vya Habari vimepewa vitisho na TCRA kutozungumzia mambo ya msingi kwenye uchaguzi

    Akiongea na wananchi kupitia mitandao ya kijamii, Humphrey Polepole amesema vyombo vikubwa vya habari vimetishwa na kupigwa marufuku kuzungumza mambo ya msingi kwenye kampeni na uchaguzi. Amesema vyombo vyote vinavyopigwa onyo na TCRA vimekuwa vikimpa taarifa. Ameongeza kuwa TCRA inatakiwa...
  7. mwanamwana

    Wanajeshi kutojihusisha na siasa ni pale wanapounga mkono vyama vya Upinzani? Mwanajeshi Mkufunzi kusema anakishukuru chama chake CCM ni sawa?

    Nimeona video inayomuonesha mkufunzi mmoja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akizungumza mwaka 2024, ambapo anasikika akikipongeza chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kile alichokiita “kazi nzuri,” na hata kumpongeza kiongozi wa chama hicho. Kauli kama hii mara chache...
  8. mwanamwana

    GE2025 Said Mohamed na wenzake wataka viongozi CHADEMA kukamatwa kwa kukiuka amri ya mahakama

    Ameandika Hilda Newton kupitia mtandao wa X TAARIFA KWA UMMA Kuna Maombi Madogo ya kesi ambayo Said Issa Mohamed na Wenzake wamefungua kwa hati ya dharula dhidi ya 1. Mhe. John Heche 2. ⁠Mhe. John Mnyika 3. ⁠Hilda Newton 4. ⁠Twaha Mwaipaya 5. ⁠Board ya Wadhamini ya Chadema. Maombi hayo...
  9. mwanamwana

    GE2025 CCM yawatoa Waadzabe porini na kuwavalisha sare za Chama kwenye Mkutano Karatu

    Wananchi wa kabila la Wahadzabe, jamii ya asili yenye historia ya kipekee, wameonekana katika viwanja vya Madani wilayani Karatu mkoa wa Arusha wakiwa wamevalia sare za CCM na kuimba nyimbo za asili. Hivi hawa, serikali ya CCM haijauza ardhi yao kweli kwa waarabu? -- Sema CCM wakorogaji...
  10. mwanamwana

    Viongozi wa Tume ya Uchaguzi Kenya wanapatikanaje? Je, Rais ana nguvu kiasi gani?

    Ni hatua nzuri kulinganisha na nchini, lakini pia kitendo cha Rais kuhusishwa bado kuna walakini kwamba mchakato hauwezi kuwa 100% perfect.
  11. mwanamwana

    GE2025 Samia: Tutajenga SGR kuanzia Tanga - Arusha -Musoma

    Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuunda serikali, ataweka kipaumbele katika ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR kwenye ukanda wa kaskazini kuanzia Tanga, Arusha hadi Musoma. Akihutubia...
  12. mwanamwana

    GE2025 Kuna la kujifunza kutoka kwa Jerry Muro; Madaraka ni kama koti la kuazima

    Video zinajielezea, sina maneno mengi Ya kwanza - Jerry Muro akiwa na madaraka Ya Pili - Jerry Muro akiwa Raia wa kawaida V/S
  13. mwanamwana

    GE2025 Nape Nnauye: Wanaompinga Samia waje na takwimu

    Nape Nnauye, amesema wanaompinga Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanapaswa kuja na takwimu na si maneno matupu. Nape amesema tangu alipoingia madarakani mwaka 2021, Dkt. Samia ameweka rekodi ya kipekee ya uadilifu katika kusimamia rasilimali za taifa na...
  14. mwanamwana

    TRA: Risiti ya EFD ya ABC Ceramics Tanzania inayosambazwa mtandaoni si halisi

    Ufafanuzi kuhusu risiti ya kielektroniki (EFD) ya ABC CERAMICS TANZANIA inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa kuondolewa kwenye mfumo wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (EFDMS). Pia soma > Alichokiandika Mange Kimambi kuhusu risiti za malipo za Bilioni 2.4 zinazodaiwa kuwa za Abdul mtoto...
  15. mwanamwana

    GE2025 Nimepoteza interest na uchaguzi wa 2025 baada ya baadhi wagombea wa upinzani kuhamia CCM

    Uchaguzi wa mwaka huu umeibua mambo ya kushangaza. Licha ya kutokuwepo kwa uwanja sawa wa ushindani wa kisiasa kati ya CCM na vyama vya upinzani, kumetokea hali ya baadhi ya wagombea waliopitishwa na vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge wakiwemo wale waliokuwa na ushawishi mkubwa...
Back
Top Bottom