Recent content by mwanamlembas

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya viongozi wa CHADEMA huko Arusha

    Ninachoweza kuwalaumu na kuwatia hatiani Madiwani ni juu ya kukubali muafaka kabla Kesi iliyomahakani haijafutwa au kuisha jambo amalo wangeweza kukaa chini na wakaonywa kwa namna yeyote na kurudi kuubatilisha muafaka lkn si kuwafukuza, Mana kuna namna ya upotoshwaji kwa CC
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya viongozi wa CHADEMA huko Arusha

    <br /> <br /> Lengo la hoja yako ni zuri lakini ndugu hii mambo mnaichukulia kwa mtazamo wa juujuu jaribu kuchima na muone yaliyo nyuma ya Pazia Mh Lema ni Lobbyist Mkubwa sana na ni Mjanja kuliko Delillah ameirubuni CC nayo imeingia Mkenge kuna Mambo ambayo wengi hamyajui lakini yataibuka...
Back
Top Bottom