Sio kwamba wenye makampuni Wana mihela mingi Bali hii ni biashara kama biashara zingine, kwenye biashara hiyo hiyo Kuna mwingine atafanikiwa na mwingine ata lose, ukiifanya kwa weredi betting faida yake ni zaidi ya mfanyakazi mfano Kuna mtu yeye kila siku kaweka malengo ya kupata faida ya laki...
hii option inanilipa Sana ila kuna vitu vya kuangalia, kama ugumu wa ligi kama uingereza, ugumu wa mechi, na hata ligi ya bongo inatoa Sana kwa timu za kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.