Naamini vijana wa Udsm hawako tayari kuingia kwenye mgomo. Uliyosema usafiri umepanda nani kakunyetisha,pia bei ya vyakula iko palepale....acha kuupotosha umma vijana wasome na wapate maarifa tatizo mnatumika sana kisiasa...
Continues ambao waliomba mkopo na wapo vyuoni majina yenu mtayakuta vyuoni mwenu baada ya chuo kufunguliwa na wengine waliokuwa wanafaidika na mkopo tayari wakiwa wamepata,mlio apply sasa ndio mtapatiwa pesa zenu...Mchana mwema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.