Recent content by MWANAHARAMU

  1. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Bagamoyo Road au Morogoro Road: Wapi bora kununua kiwanja?

    Kwa nini isiwe Kilwa road au Mwalimu Nyerere road? Kama vipi nenda kigamboni huko
  2. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Kero za Muungano zimebadilika, What if Muungano ukavunjika?

    Koti likikubana unatakiwa ulivue
  3. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Ukweli ni kwamba, haitowezekana kupewa mkataba sawa wa maslahi kati ya UAE na nchi za Ulaya. Hili swala lilishatokea hata kwa Somaliland, wakaopt kuvunja mkataba kama sijakosea. Anayehoji kama fedha inapatikana, kwa nini kuwe na tozo ya uendelezaji bandari asikilizwe. Sio tu mizigo kutolewa...
  4. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Wanyamapori ni nchi inayoitwa Tanzania, vipi wewe mhamiaji haramu au mkimbizi
  5. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Hata Maisha yakukabe vipi Usidhulumu au kutapeli mtu

    😀😀😀😀😀 when you reach 30 years, don't play by the rules
  6. MWANAHARAMU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umefaidika na nini baada ya kuoa mwanamke mpambanaji/mwenye kipato?

    Mwanamke atatumia hadhi ya familia yake, elimu au kazi kama leverage ili ampate mwanaume mwenye hadhi ya juu. Baada ya hapo atarudi kwenye majukumu yake ya msingi. Kama hutaki oa anayekustahili
  7. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Wanaume kwanini tunalazimisha kupendwa. Ndio maana tunanyanyaswa na kuumizwa sana kwenye mahusiano

    Kanuni ni ile ile: Ulichapiwa, unachapiwa au utachapiwa
  8. MWANAHARAMU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Poor people need to unite too

    Nao wapo kundi la masikini
  9. MWANAHARAMU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

    Halafu Kuna watu wanasema hawajui Raha yake? Kweli
  10. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Acheni kudanganyana story za farao kuwa alipata laana

    Maiti za namna hiyo Misri zipo nyingi, hii ilitokana na nini? Na ile Imani kwamba ipo siku watafufuka hivyo lazima wautunze mwili. Kama ni farao, farao yupi? Kuhusu dini ya kiislamu hawa waliokoteza stori tu
  11. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 1967 wachawi waliongoza kwa idadi ukubwa ya watu kuliko dini yoyote
  12. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Wakati mnajihesabu hayo makundi mawili, mlishawatoa 1) Atheists 2)Africa Traditionalist 3) Rastafari Ili mjadala wenu unoge? Ikiwa sivyo, basi ubishi huu hauna afya Wala mantiki
Back
Top Bottom