Recent content by MWANAHARAMU

  1. MWANAHARAMU

    Weekend yangu imeanza vibaya sana, Kioo cha simu kimepasuka, kubadilisha laki 4

    Miliki simu hata ikipotea, unasema kesho ngoja nikachukue nyingine hii siioni, hakuna Cha pressure Wala nini 😂😂😂😂😂
  2. MWANAHARAMU

    Haya Maisha kuna wakati unapitia Mtihani mpaka unasema kwa Kulia

    Mwandege, Vikindu, Kisenvule ardhi yake ni mchanga mwingi hivyo ujenzi wake lazima uingie gharama kwenye msingi, baada ya kozi Nne na Linta bila hivyo nyumba inageuka chujio la chai. Hapo sio umasikini ila kujenga bila kufuata kanuni
  3. MWANAHARAMU

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Unatolea mfano wa Ukraine inayosaidia kila kitu hadi mafunzo? 😂😂😂😂😂😂😂
  4. MWANAHARAMU

    China Inatakiwa Kutoa Shukrani Kwa Beberu USA kuisaidia Kushinda Vita ya Pili ya Dunia na Japan Badala ya Kujipongeza Kwa Magwaride Yasiyo na Tija

    Waliwageuka na kuisaidia Japan hivyo Mrusi kuingia upande wa Manchuria na kushindwa vita. Baadae tena US kwa kushirikiana na Japan walificha matukio mabaya ya askari wa Japan kule china
  5. MWANAHARAMU

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Kwa nini asiende kuionyesha Urusi au Ukraine maeneo yaliyokombolewa na Mrusi? Kila mtu anajua Iran ilidharau mfumo wa anga na Kuamini Ile mikombola yao, Sasa wanazitaka s-400 na kutengeneza za kwao. Ngoja tuone hali itakavyo kuwa
  6. MWANAHARAMU

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Ile ya juzi ilikuwa nini, mpaka wakadharauliwa Dunia nzima
  7. MWANAHARAMU

    Je, kumtafuta rafiki yako, kipindi ukiwa na shida tu ni sahihi?

    Huyo sio rafiki hata kidogo. Ni watu mnao fahamiana na mna parasitic relationship hivyo kaa nae chonjo
  8. MWANAHARAMU

    Ushawahi mkomesha demu aliyekuletea janja janja

    Mrudie tena, mwambie ulipata dharura, hakikisha hasara ya safari hii mpaka anaenda kulia kwa baba yake
  9. MWANAHARAMU

    NITUMIE NAULI NIJE

    Kamfungulie mashtaka ya kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu. Alikutapeli huku ulitumia Ile kesi sijui ya Nigeria kama mfano na hapo Kenya Kadai pesa yako Kadai fidia ya maumivu ya kisaikolojia aliyokusabishia Kadai tena fidia ya usumbufu ulio upata. Fidia ya muda ulio upoteza gharama Fidia...
  10. MWANAHARAMU

    Kwanini matajiri (watu waliofanikiwa) hudhani masikini ni wavivu?

    Iko hivyo duniani kote Kazi za nguvu zilikuwa na thamani Karne ya 17 na 18. Walithaminika wakulima makini, wavuvi hodari, wawindaji matata ila Karne ya Sasa akili ndio kila kitu. Hata mziki wa Mond baada ya kufungiwa na vyombo vya habari Tanzania, alitumia akili kujitoa kwenye huo mkwamo. Iwe...
  11. MWANAHARAMU

    Sina hela kabisa kodi inasubiri bado watoto wanaumwa, watu wa karibu wamenikimbia

    Pole kamanda ila maisha ni vita, pigano moja uliloshindwa haliamui hatma ya wakati ujao, simama futa makalio nyanyua Anza safari kwa nguvu mpya
  12. MWANAHARAMU

    Nini faida kwa mtu kuzaa watoto?

    Primary objective ya kiumbe chochote ni kuzaliana yaani continuity of a species ongezea ukoo, kabila, familia. Sifa ni ya homo sapiens hizo nyingine ni mbwembwe zisizo na msingi.
  13. MWANAHARAMU

    Nini faida kwa mtu kuzaa watoto?

    Ila Mali zangu, jina langu la ukoo, kabila langu, sifa njema anastahili? Mtoto hurithi vyote hadi magonjwa ya asili.
Back
Top Bottom