Ukweli ni kwamba, haitowezekana kupewa mkataba sawa wa maslahi kati ya UAE na nchi za Ulaya.
Hili swala lilishatokea hata kwa Somaliland, wakaopt kuvunja mkataba kama sijakosea.
Anayehoji kama fedha inapatikana, kwa nini kuwe na tozo ya uendelezaji bandari asikilizwe.
Sio tu mizigo kutolewa...
Mwanamke atatumia hadhi ya familia yake, elimu au kazi kama leverage ili ampate mwanaume mwenye hadhi ya juu.
Baada ya hapo atarudi kwenye majukumu yake ya msingi. Kama hutaki oa anayekustahili
Maiti za namna hiyo Misri zipo nyingi,
hii ilitokana na nini?
Na ile Imani kwamba ipo siku watafufuka hivyo lazima wautunze mwili.
Kama ni farao, farao yupi?
Kuhusu dini ya kiislamu hawa waliokoteza stori tu
Wakati mnajihesabu hayo makundi mawili, mlishawatoa
1) Atheists
2)Africa Traditionalist
3) Rastafari
Ili mjadala wenu unoge?
Ikiwa sivyo, basi ubishi huu hauna afya Wala mantiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.