Huwezi kujibu hoja kwa kukimbilia neno, ambalo lipo sahihi.
Kabla ya space, time na maada.
Nini kilikuwepo?
Hili ndio msingi wa swali lako?
Inaonyesha wazi, huelewi hivi vitu.
Ndio maana umekimbia kabla ya kujibu.
Kama unaelewa, nawe ni mjuvi
Embu tuelezee kabla ya kuwepo
Time, space na maada...
Kwa maelezo Yako inaonyesha umeweka ceiling ufahamu wako.
Kama Kila kitu kinahitaji designer na hakuna kitu kinachotokea tu randomly.
Kitu gani kimemuumba Mungu?
Outside of space, time and matter?
Then there is nothing.
No God.
Unatamka kitu rahisi mno
Nani asiyejua kuwa linatengenezwa?
Maaajabu ikiwa atatokea mtu na kusema yametokea tu?
Sasa maaajabu yanakuja ikiwa mtu atasema kuwa Kuna complex being mwenyewe katokea kama uyoga?
Elewa hakuna possibility ya uwepo wa Mungu/Miungu kwa hapa duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.