Recent content by MWANAHARAMU

  1. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Huwezi kupata jibu Wazazi wa kwanza kwa kutumia nadharia ipi?
  2. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Hakuna hoja huko nyuma Na huna hoja uliyojibu Kama ipo iqoute
  3. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Unajisifu wakati huna hoja Kama upo makini kichwani Subiri watu wakusifie Nionyeshe hilo jibu Nalisubiria Mr Misifa.
  4. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Hakuna unacho elewa, Endelea kuamini, Kama umejibu quote, Zipo hoja kama time is real or not.
  5. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Huwezi kujibu hoja kwa kukimbilia neno, ambalo lipo sahihi. Kabla ya space, time na maada. Nini kilikuwepo? Hili ndio msingi wa swali lako? Inaonyesha wazi, huelewi hivi vitu. Ndio maana umekimbia kabla ya kujibu. Kama unaelewa, nawe ni mjuvi Embu tuelezee kabla ya kuwepo Time, space na maada...
  6. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Karibu upewe elimu. Kabla ya space, time and matter. Kwanza kabla hatujaenda mbali umekubali huyo Mungu hayupo?
  7. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Nilichojifunza Kuna watu ni wajinga kupita maelezo.
  8. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Kwa maelezo Yako inaonyesha umeweka ceiling ufahamu wako. Kama Kila kitu kinahitaji designer na hakuna kitu kinachotokea tu randomly. Kitu gani kimemuumba Mungu? Outside of space, time and matter? Then there is nothing. No God.
  9. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Ushahidi?
  10. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Unatamka kitu rahisi mno Nani asiyejua kuwa linatengenezwa? Maaajabu ikiwa atatokea mtu na kusema yametokea tu? Sasa maaajabu yanakuja ikiwa mtu atasema kuwa Kuna complex being mwenyewe katokea kama uyoga? Elewa hakuna possibility ya uwepo wa Mungu/Miungu kwa hapa duniani.
  11. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Mfumo wa chakula anao binadamu tu? Kama sio kipi Cha ajabu?
  12. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Je Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Mfumo wa binadamu sio wa kipekee kwa wanyama wengine. Hivyo hakuna upekee
  13. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Companion For Hire

    Andika escort Tanzania au Tanzania escort. Halafu wanaweza kufanya vyote ila wewe kataa kunyandua tu. Inawezekana
  14. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Mlitudanganya wadada wembamba warefu wana papuchi kubwa.

    Shimo wamejaaliwa mkuu Ila faida yao, Wana pumzi Hawachoki kirahisi Na ukimkuta anaye rusha maji Utafurahi
  15. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Short sighted
Back
Top Bottom