Stand Moja kwenye jiji kubwa kabisa Tanzania na Afrika mashariki?
Hiyo Mwanza yenyewe tu ina stand tatu
Nyegezi, Nata na Nyamhongolo
Na hili ni jiji la pili kwa ukubwa.
Hawa ndio aina ya viongozi wetu wa Leo na kesho 😀😀😀👂
Shida hatuna viongozi wanao waza miaka 100 ijayo.
Hatuna watu wanaofikiria kesho kutwa, wao ni Leo leo
Nchi inahitaji think tank wake na wasiwe viongozi wakubwa.
Leo hii wanawaza kama watu walio 1970 badala ya 2050
Makao makuu ya kwanza ya Wajerumani katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani yalikuwa Bagamoyo 22b6
Maelezo mafupi:
1. Bagamoyo (1885 – 1890): Hapo ndipo utawala wa Kijerumani ulipoanza. Wajerumani walikodisha ukanda wa pwani kutoka kwa Sultani wa Zanzibar mwaka 1885, na makao makuu ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.