Recent content by Mwami Kabuyuki

  1. Mwami Kabuyuki

    Wanaume mnakera sana

    Hela zako ni za kazi gani, Na Je Huyo mwanaume amekuoa?
  2. Mwami Kabuyuki

    Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

    Mi akiniukiza hilo swali na mi naweka standard yangu ya Chini kabisa, Je una bikra? Akijibu sina Huyo sio wa kuoa namuacha Mazima, Bikra lazima awe nayo na hakuna kisingizio, Haiwezekani nioe mke wa mtu kizembe hivyo, Wanaume lazima tuwe na standard sio kuzoa zoa tu, Wao wanazingatia financial...
  3. Mwami Kabuyuki

    Nawezaje kurudiana naye?

    Subiri uolewe Acha kuendeshwa na Hisia, Huyo mwanajeshi possibility ya kukuoa ni ndogo Sana, Ukuhadaika na Ajira yake Basi Jua umepotezwa, Umri wako unazidi kusonga na Ukijiingiza kwenye Mahusiano nae basi jua wewe ndo Upo kwenye Hatari zaidi na Kitakachojiri ni kuachwa ubaki single mwenye...
  4. Mwami Kabuyuki

    Wanaume wa kiislam hii inawahusuu

    Katika Uislamu, Sheria na Taratbu zake zote pete Haina uhusiano na mambo ya Ndoa wala uchumba, Lizingatie hilo
  5. Mwami Kabuyuki

    Ulipomfumania umpendaye ulichukua hatua gani?

    Hiyo ndo hulka yetu Kwahiyo Ukiwa na mwanaume ukae ukijua hilo, Sex kwetu ni starehe inayojitegemea ambayo haimbatani na Upendo, Ishi nayo hiyo
  6. Mwami Kabuyuki

    Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

    Baadhi yao hawanaga Akili kaka, Yani Ndo maana Kuna watu wanawafanyiaga ukatili japo sio sahihi, Ila Kwa Akili kamq Hizo imagine, Anaenda kumuumiza aliyempa heshima na Kumuhudumia
  7. Mwami Kabuyuki

    Ushauri na uzoefu wa kutatua janga la kupenda

    Mzee si utafute Mwanamke mwenye wazazi wake na Usimamizi wa Kueleweka, Huyo keshavuka mipaka kiasi hutamuweza tena kama Utamuoa japo na We unapaswa Kutulia acha kubadili wanawake ila Kwa Huyo Mwanamke hakufai japo Inategema na tabia yako Maana Huenda Mungu kakupa mtu wa Kufanana nae
  8. Mwami Kabuyuki

    Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

    Yeah, Yani Jamaa anachotaka kufanya ni kuhakikisha Anavunja Ndoa hiyo kabisa kabisa na Kwa Udhaifu wa Wanawake wengi huwa Wanajikuta wanafeli Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
  9. Mwami Kabuyuki

    Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

    Kama unaipenda Ndoa yako achana nae Mara Moja laa sivyo ataishia kukukaza au Mumeo atakuacha kwa Kudhani labda Unatembea na Mzazi mwenzio, na Hii ndo Sababu baadhi yetu hatupendi kuoa wanawake ambao washazaa maana Hamjielewagi, Jitu limekuacha katika mazingira mabuvu leo hii anakupigia sim asee...
  10. Mwami Kabuyuki

    Wanawake acheni kuomba pesa kwa wanaume wasio wapenzi wenu kwa kigezo cha kuzoeana

    Umeelewa anachoongea? Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
  11. Mwami Kabuyuki

    Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

    Mzee huyu mwanamke sio Chaguo lako, Sema na Moyo wako tu kwamba Huyu si Chaguo langu halafu move on basi, Usifuge chuki kwa mtu ambaye umekutana nae Ukubwana Maana sio lazima uishi nae, Kuwa makini usije kurudi jela ukaozea huko ukabaki kujilaumu Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
  12. Mwami Kabuyuki

    Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

    Huo umbali umeandika wapi Mbona hakuna Mahala umeweka wazi kwamba hii hutokea muhusika akiwa Mbali! Au hilo neno umesahau, Nilidhani wewe ni mchangiaji kumbe ndo mtoa mada Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
  13. Mwami Kabuyuki

    Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

    Ukae karibu na mimi unichokoze [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakushika ziwa nikiona hukomi nakushika Mbususu najua utaacha uchokozi na utakaa kwa kutulia Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
  14. Mwami Kabuyuki

    Jamani kosa langu lipi hapa

    Mumeo nae Analeta upumbavu tu, Anashindwaje kuelewa kitu cha Msingi kama hiki otherwise wewe uwe umeandika kujipendelea upande wako na Labda Kuna Kosa Umefanya nje ya Hayo maelezo ila kama hujaongeza chumvi basi Mumeo ametoa boko katika hili Wewe Umeatukia mchezo mapema Simama imara usizembee...
Back
Top Bottom