Recent content by Mwamba rinyungu

  1. M

    TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Hakuna kutuma Kwa njia ya posta wanakukumbusha barua utakayo tuma hakikisha umeisaini, kuhusu vyeti uwe umeviatachi sehemu husika , maombi yote ni online hakuna kutuma Kwa njia posta nadhani ata kwenye tangazo wamesisitiza!
  2. M

    TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Sidhani kama wanawapigiwa lakin jitaidi umeweka mareferee watatu, kama wanavyotaka wao wasije wakakulima kichwa mapema, nasema hivi na ushahidi Kuna mwamba mmoja, aliliwa kichwa Kwa kutoweka refarees watatu yeye aliweka wawili tu ko jitahidi unaweka wote na details zao zote.
  3. M

    TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Hiyo Haina shida mwamba kikubwa wakati wa kuapply ulia atachi barua yako maombi!!
  4. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwamba mbona unakata tamaa, mm naamini kazi utapata nahaya maneno ya taasisi ziajiri zenyewe, utayapa nafasi tena kikubwa subira muhimu.
  5. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mwamba kawakanda 91% then wanamwandikia irrelevant qualification dah inasikitisha sana hii kitu.
  6. M

    Mwenye uzoefu wa Internship ya World Vision

    Wapo kasulu,kibondo,kakonko
  7. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwamba usikate tamaa database inafanyakazi!!
  8. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bado IT anasomba database usiogope mwamba wakati wowote vijana wanalamba asali.
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mwamba, hakika mumgu ni mwema na anatoa riziki kwa wakati sahihi.
Back
Top Bottom