Recent content by Mwamba Kizota

  1. M

    Serikali ipunguze Tozo kwa Mbadala huu hapa...

    Story of Change kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. Naanza kwa nukuu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Aliwahi kusema ili tuendelee tunahitaji mambo manne. Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora. Katika haya nachagua Ardhi na Watu kukusanya fedha ya kutosha ikiwa ni mbadala wa Tozo...
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee wenzangu, habari za humu ndani. Naamini muda umefika ili tugawane hizi SUPER SINGLE zangu kwenu nyinyi humu. Kwa muda mrefu nimepambana na "mhindi" kwa kushirikisha wadau wachache huku niliko; lakini leo nawaletea humu ndani ili aliyeko tayari basi tuwasiliane PM kwa hatua za utekelezaji...
Back
Top Bottom