Recent content by mwamba.kiemena64

  1. M

    Gharama za kwenda China

    Unataka ngua mpya au kukuu? Na unataka kwenda mwenyewe au kuagiza? Ushauri kawaida huwa unalipiwa. Kama hauna gharama za kulipia ushauri basi utapewa ushauri wa wa hisani. Tembelea Ofisi yetu iliyopo Mikocheni B, Mtaa wa Himo, numba namba 776, Simu namba 022 2781130 au 022 2781462 na Simu ya...
  2. M

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Tembelea kwanza wenye biashara zenye makazi na wafanyabiashara wenyewe wawe wenye makazi. Hapo ndipo utapata pa kuanzia. Na usikurupuke kwenye hili na tafuta q\wataalamu wenye kutambulika sio wavaa suit kubwa utajuta. Achana na washauri wa mitaani. Kama utakuwa na kuhitaji maelekezo nitafute
  3. M

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Tembelea kwanza wenye biashara zenye makazi na wafanyabiashara wenyewe wawe wenye makazi. Hapo ndipo utapata pa kuanzia. Na usikurupuke kwenye hili na tafuta q\wataalamu wenye kutambulika sio wavaa suit kubwa utajuta. Achana na washauri wa mitaani. Kama utakuwa na kuhitaji maelekezo nitafute
  4. M

    Wahujumu mali ya umma ni hatari zaidi ya wezi wa kutumia silaha

    In ukweli usiopingika kwamba wahujumu mali ya Uma na Wala Rushwa ni hatari kuliko Islamic State na Wazi wa kutumia silaha. Wanaumiza mamalioni ya watanzania hawa. Natunakalia kupiga kilele za kisiasa tu katika kupigana na jambo hili. Na halitaisha kwa kuwa hata wapiga kelele wenyewe linawapa...
Back
Top Bottom