Juliana acha uongo kwani nape alipitishwa kwa kura ngapi mtama kama sio 16789 basi na yeye alipiga goli la mkono kama unasema sensa ya makazi wa kitongoji cha mtama ni 4398 inabidi tumchunguze nape na goli la mkono
Hkigwangalla nimuongo saana sijui ni dt ngani huyu. Juzi nilimuona eatv anaongea kusema halipo kuwa arusha aliona watu wanapewa hela na watu lowassa kwanza nimuongo sana.mimi mwenye nilimuona alikuwa amekaa kwenye baa moja inaitwa millstone alikuwa anajifichaficha huyo mimi namwambia haache uongo
Mtoa mada kumbe Hana akili kabisa nampa mfano tu nchi ya jirani kenya sasa hivi wametoka kwenye nchi za ulimwengu wa tatu.bila mabadiliko ya mwaka 2002 kufanya kenya tungekuwa sawa no mfano mdogo tu zipo nchi nyingi sana usiwapotoshe watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.