Recent content by mwalimu wa mtaani

  1. M

    Biashara ya chips kwa dar es salaam inaweza kunipa utajiri?

    Naomba wakongwe wa biashara ya chips DSM wanisaidie kijana wao, vp nnaweza kuianza kwa mtaji wa sh ngap yaani kwenye kutafuta vitu vifuatavyo, pia wanisaidie ushaur kama biashara hii inafaa au 1.Kununua kabati la alminium kwaajili ya kuwekea chips na mishikaki na kachumbar 2. kutafuta eneo la...
  2. M

    Je, ofisi ya fundi ushonaji kwa cherehani hukadiriwa vp kodi na TRA?

    Mimi ninatamani kufungua ofisi ya ushonaji, nina cherehani zangu mbili nataka nijue kuna utaratibu gani niufuate ili nisisumbuliwe na either TRA au manispaa. Tafadhali wenye ujuzi na haa masuala mnisaidie naomba sana.
Back
Top Bottom