Kuna watu wanajua kufanya mamboz aisee. Mtoto ni miss fulani hivi mwembamba yaani, mweupeee ila anabalaa.
Mtoto anajua hadi nasema huyu hana tofauti na Messi kwenye football. Nilipelekwa kindumbwe ndumbwe kuanzia dakika ya kwanza mpaka ya 90. Mtoto michezo anaijua aisee, nimenasa kwake na...
Tujenge hoja vizuri maana Rais kasema nae huwa anaperuzi JF.
Sasa hajasema ni jukwaa gani, huenda ni jukwaa hili pendwa.
Tulitumie vizuri, tuweke hoja zenye mashiko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.