Teknolojia inabadilika, na wao wame-advance, kipigo dhidi yao cha mara kwa mara kimewafanya wajifunze, ni uratibu wa muda mrefu alioufanya mshambuliaji, kiasi kwamba tahadhari zote walizichukua ndiyo maana wakafanikiwa.
Ndugu hayo mataifa yote uliyoyataja unadhani yanapumua kwa U.S.A? Yanatii maelekezo ya U.S.A, huko pia ni kuuzwa, hayana utashi wowote nje ya matakwa ya USA, ndiyo maana kote huko ulikotaja USA kasimika kambi kubwa za Jeshi lake, Kwa kifupi mataifa yote uliyoyataja yanaiabudu U.S.A
Panahitajika uangalifu Kwa sababu inawezekana wakauwawa Watu wasio na hatia, kwahiyo wanaweza wakauzunguka huo mji lakini kuingia pale ikahitajika hesabu Kali zaidi ili kuepusha maafa na umwagaji wa damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.